Habari zenu wadau wa JF.
Hii kitu nayo inasumbua sana baadhi ya watu yaani ukizoea hii kitu inakuwa ni ngumu sana kuiacha ni nn kinapelekea inakuwa hivyo. Na vp twaweza kuwasaidia kwa walioshidwa kuacha ili waache.
NB. Punyeto husababisha kushidwa kutongoza na kukosa kujiamini kwa mpenzio. Acha kabisa hiyo kitu kama unatumia ni mbaya sana kwa matokeo ya baadae.
Ni kweli, na nguvu kitandani inakuwa dhaifu
Acha kuisingizia hii kitu..hizo nguvu hana tu sababu ya kushindia vichips mayai...Ni kweli, na nguvu kitandani inakuwa dhaifu
MhNi kweli, na nguvu kitandani inakuwa dhaifu
Bado hujamalizia bro, unaweza kuzibua kila mwanamke kwa kiganja cha mkono, unaimagine tu..kwanini uache nyeto ???
nyeto ni ngono salama
hauibiwi
huwezi kuhofia mimba
hupotezi hela
vijana pigeni nyeto
Utarudia tu, kuacha kabisa ni ngumuInabidi wawe wanapiga mara moja kwa siku, then baada ya siku moja, the baada ya siku 2, 3,4,5,6 then wiki mwezi. Kwa mbinu hii utafanikiwa mi mwenyewe imenisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] hiyo kitu inafanywa na wengi ukisimuliwa huwezi amini
Sent using Jamii Forums mobile app