Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji sasaivi wamefika mia na hamsini tatizo wanataga sehemu moja wnalalia sehemoja wa tatu kila siku wanachanganya mayai matokeo yake wanayaharibu tu msaada tafadhali.
Kuku hupenda kutaga sehemu iliyo jificha kidogo, kwa hiyo si ajabu hapo kwenye hicho kiota wanapongangania pamejificha kuliko viota vingine. Pia jaribu kuongeza idad ya viota" kwa kuku 150 ingelbid walau uwe na viota 75. Vile vile kuhusu kuchanganya mayai nunua mark pen na uyawekee alama yale ya kuatamiwa halafu yatakayo ongezeka au kuku wakiyachanganya itakuwa rahis kwako kuyajua na kuyatoa. Kaz njema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.