Kwanini kurudia uchaguzi badala ya kurudia kuhesabu kura?

Kwanini kurudia uchaguzi badala ya kurudia kuhesabu kura?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kama uchaguzi ulikwenda sawa kasoro ni ujazaji na utumaji wa matokeo kwanini busara isingetumika kurudia upya kuzihesabu kura (ballot papers) badala ya kurudia uchaguzi mzima ambao ni ghari kwa watu, pesa, vifaa na muda.? Kwani uchaguzi ulifutwa kwa makosa yapi?
 
Kama uchaguzi ulikwenda sawa kasoro ni ujazaji na utumaji wa matokeo kwanini busara isingetumika kurudia upya kuzihesabu kura (ballot papers) badala ya kurudia uchaguzi mzima ambao ni ghari kwa watu, pesa, vifaa na muda.? Kwani uchaguzi ulifutwa kwa makosa yapi?

Sheria ya Kenya inasema kuwa masanduku yote ya kura yawekwe kwa muda fulani kwa sababu ya hili. Na hili ndilo jambo ambalo limemkasirisha Uhuru sana. Tunaenda kutumia shiling 10 Billioni ilhali tungefungua tu masanduku haya tukahesabu Kura. Majaji wa Kenya wametia aibu sana kwa hili.
 
Sheria ya Kenya inasema kuwa masanduku yote ya kura yawekwe kwa muda fulani kwa sababu ya hili. Na hili ndilo jambo ambalo limemkasirisha Uhuru sana. Tunaenda kutumia shiling 10 Billioni ilhali tungefungua tu masanduku haya tukahesabu Kura. Majaji wa Kenya wametia aibu sana kwa hili.
mtu anaewasifu hawa majaji hana uchungu na maisha ya WAKENYA, badala ya kutumia rasilimali kwa kutatua mahitaji ya wakenya wao wanazitumia kwa kurudia uchaguzi na kwenda kuchambia karatasi za kwanza za kura.
 
Back
Top Bottom