Sote tunajua gharama za ATCL zilivyo ghali na hasa safafri za kutoka Mwanza kwenda Dar na Dar kuja Mwanza na hasa nyakati za asubuhi.
Binafsi naona kama wasafiri tunaonewa na inaaonyesha kama ATCL siyo Shirika letu sisi Wananchi.
Kwanini kusiwe na mshindani wa ATCL kama ilivyokuwa Fastjet enzi hizo. Ni vema sasa kuwe na mshindani wa ATCL masuala ya ukiritimba ulikwishapitwa na wakati.
Binafsi naona kama wasafiri tunaonewa na inaaonyesha kama ATCL siyo Shirika letu sisi Wananchi.
Kwanini kusiwe na mshindani wa ATCL kama ilivyokuwa Fastjet enzi hizo. Ni vema sasa kuwe na mshindani wa ATCL masuala ya ukiritimba ulikwishapitwa na wakati.