Asishike simu ili iweje, Wabongo hatuendelei kwa sababu ya fikra zenye giza kama hizi,
Unaona upande wa negative tu, tangia ukue hujaona umuhimu wa simu?
Mimi nashauri akizaliwa tu apewe simu baada ya maziwa.
Ila sio goroka.
Maana yangu ni (internet access) tangu akiwa mdogo