Kwanini kuwa na double standard? CHADEMA amkeni na acheni upoyoyo

Kwanini kuwa na double standard? CHADEMA amkeni na acheni upoyoyo

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200


Video hapo juu ni mapokezi (maandamo) ya Zitto huko Tunduru na Polisi kabla ya hapo wali-fake kumzuia Zitto na baada ya simu moja ya maelekezo kusanyiko lile liliendelea na habari zake kama mnavyoona.

Hoja hapa ni kwanini jambo fanani na hilo likifanywa na Chadema huzuiliwa tena kwa nguvu ya haja?!

Chadema acheni u-poyoyo fanyeni kazi yenu ya siasa.
 
Utafananishaje Act wazalendo na Chadema? Chadema wameshindwa hata kujenga ofisi zao ndio utawafananisha na ACT wenye ofisi za Hadhi kubwa kuweza kufanyia vikao vyao? Ruzuku za chadema mpaka leo haijawahi kueleweka zinakwenda wapi lakini ya Act wazalendo imeonekana kazi yake ndani ya muda mfupi. Chadema Nafasi ya Mwenyekiti Ni ya urithi na haitakiwi mwingine yoyote kuitamani Wala kuigusa maana huko ni sawa na kuonja sumu wakati Act wazalendo wanagombea bila kutishiwa na kuitwa msaliti
 
Hii picha inashangaza, Zitto aliyechezewa faulo kule Zanzibar anazuiwa na polisi, kisha Zitto huyo anaomba ruhusa ya kuendelea na mambo yake toka kwa wale waliomchezea faulo kule Zanzibar, nao wanampa ruhusa ya kuja kuwasemea kwa wananchi!.

Chadema wasipoamka, wataishia kufanya mikutano ya ndani for the rest of their lives.
 
Utafananishaje Act wazalendo na Chadema? Chadema wameshindwa hata kujenga ofisi zao ndio utawafananisha na ACT wenye ofisi za Hadhi kubwa kuweza kufanyia vikao vyao? Ruzuku za chadema mpaka leo haijawahi kueleweka zinakwenda wapi lakini ya Act wazalendo imeonekana kazi yake ndani ya muda mfupi. Chadema Nafasi ya Mwenyekiti Ni ya urithi na haitakiwi mwingine yoyote kuitamani Wala kuigusa maana huko ni sawa na kuonja sumu wakati Act wazalendo wanagombea bila kutishiwa na kuitwa msaliti
Ndugu wewe inawezekana unalipwa posho kubwa kuwazidi wenzako 7500 unaitetea vyema.
 
Wewe uliona wapi fisi ana mdhuru Mtoto wake??
 
Utafananishaje Act wazalendo na Chadema? Chadema wameshindwa hata kujenga ofisi zao ndio utawafananisha na ACT wenye ofisi za Hadhi kubwa kuweza kufanyia vikao vyao? Ruzuku za chadema mpaka leo haijawahi kueleweka zinakwenda wapi lakini ya Act wazalendo imeonekana kazi yake ndani ya muda mfupi. Chadema Nafasi ya Mwenyekiti Ni ya urithi na haitakiwi mwingine yoyote kuitamani Wala kuigusa maana huko ni sawa na kuonja sumu wakati Act wazalendo wanagombea bila kutishiwa na kuitwa msaliti
Leo umeacha uchawa kwa Mama umehamia kwa Zitto
 
Leo umeacha uchawa kwa Mama umehamia kwa Zitto
Amesahau kuweka number ya cm
Anasahau Kuwa ACT imerithi nyumba ya maalim seif ambayo aliwapa CUF iliyouawa na CCM kizandiki!
Amesahau CCM imerithi majengo viwanja na facilities za serikali ya chama kimoja zilizojengwa na wananchi wote kwa Kodi za imma na kuzifanya Mali za chama
Amesahau pia mwendazake alifika Mbali kuinajisi ikulu ya JMT kwa kufanya humo vikao vya ccm.
Anailaumu CHADEMA ambayo haijawahi kupewa hati chafu na CAG anayetokana na uteuzi WA mwenyekiti WA ccm.
Ukweli Ni kwamba JF imeingiliwa na mediocre mbili kutokea fb ambao sio GT!
Kama mahakama zinazosimamiwa na kulipwa na serikali inayoundwa na ccm inaamua kuwaachia huru makada WA CHADEMA waliofungwa kwa makosa ya kubambikiwa ubakaji wizi WA kutumia silaha na mauaji; halafu kada huyu huyu anasema walikua wanatumika wacha wapate haki Yao je angepata nafasi si angewaua kabisaa! Tukisema Kuna wanachama wa hivyo Ndani ya CCM ambao hawaishi ahadi za mwanaccm kuwa binadamu wote ni ndugu itakua ni kosa?
Adios
 
Kule "ntwala" wakati wa mapokezi ya Mnyika, mama mmoja alisikiza akiimba Eti

"CDM sikuua, sikuua mie, sihami Leo Wala kesho"

Wananchi tumemis mikutano ya hadhara ya nje,

CDM tokeni USINGIZINI, jiwe hatunae!¡!!
 
Utafananishaje Act wazalendo na Chadema? Chadema wameshindwa hata kujenga ofisi zao ndio utawafananisha na ACT wenye ofisi za Hadhi kubwa kuweza kufanyia vikao vyao? Ruzuku za chadema mpaka leo haijawahi kueleweka zinakwenda wapi lakini ya Act wazalendo imeonekana kazi yake ndani ya muda mfupi. Chadema Nafasi ya Mwenyekiti Ni ya urithi na haitakiwi mwingine yoyote kuitamani Wala kuigusa maana huko ni sawa na kuonja sumu wakati Act wazalendo wanagombea bila kutishiwa na kuitwa msaliti
Act wazalendo na CHADEMA haviwezi kulinganishwa Ila kutofautishwa
1. CHADEMA ni Chama kikongwe wakati ACT ni Chama changa Sana
2. Itikadi na mitazamo ya vyama hivyo viwili ni tofauti kabisaa!
3. muundo wa uongozi wa vyama hivyo viwili ni tofauti kabisa wakati kiongozi mkuu kabisa ndani ya CHADEMA ni mwenyekiti, ndani ya Act Kuna mwenyekiti na kiongozi mkuu!
4.Chadema ndio Chama pekee kinachoogopwa na CCM pamoja na Dola ndio maana hata mwendazake aliazimia kukiua akajikuta amekufa yeye.
5. Act kimerithi ofici za CUF AMBAZO PIA NI NYUMBA YA MAALIMU SEIF (rip)
6. Kusema kwamba haileweki matumizi ya ruzuku bila kuleta hati za mashaka au unadhirifu as per CAG kwa kipindi chote Cha uhai wa CHADEMA huo ni ujinga!
7. Act ni mshirika wa ccm, mfano ni kule Zanzibar SUK, wakati CHADEMA HapAna!
8. Hata ccm nafasi ya mwenyekiti ni ya urithi ndio mana chairman hana mpinzani na anapitishwa TU na sio kushindana! Hata mwalimu alikua mwenyekiti wa Tanu na baadae ccm kwa zaidi ya miaka 30! Ngumbaru wewe
 
View attachment 2418521

Video hapo juu ni mapokezi (maandamo) ya Zitto huko Tunduru na Polisi kabla ya hapo wali-fake kumzuia Zitto na baada ya simu moja ya maelekezo kusanyiko lile liliendelea na habari zake kama mnavyoona.

Hoja hapa ni kwanini jambo fanani na hilo likifanywa na Chadema huzuiliwa tena kwa nguvu ya haja?!

Chadema acheni u-poyoyo fanyeni kazi yenu ya siasa.

Zitto bwana kasikia Kusini yupo Mnyika huyo kakimbia na yeye kupambana na Mnyika.
 
Utafananishaje Act wazalendo na Chadema? Chadema wameshindwa hata kujenga ofisi zao ndio utawafananisha na ACT wenye ofisi za Hadhi kubwa kuweza kufanyia vikao vyao? Ruzuku za chadema mpaka leo haijawahi kueleweka zinakwenda wapi lakini ya Act wazalendo imeonekana kazi yake ndani ya muda mfupi. Chadema Nafasi ya Mwenyekiti Ni ya urithi na haitakiwi mwingine yoyote kuitamani Wala kuigusa maana huko ni sawa na kuonja sumu wakati Act wazalendo wanagombea bila kutishiwa na kuitwa msaliti

Wewe ni mgeni Sana humu jf ila unapenda kurukia mambo. Ufanyie kazi ushauri uliopewa na Pascal Mayalla.

1. Kwanza, lazima ujue ACT ni chama kilichotokana na mgawanyiko CHADEMA baada ya kuondoka kwa Zitto Kabwe na Wenzake akina Prof. Mkumbo. Na baadae kikapata nguvu baada ya Maalim Seif kuhama CUF. Hivyo hicho chama ni waliohama CHADEMA na CUF.

2. Pili, hiyo ofisi ilikuwa ya kambi ya Maalim Seif ndani ya CUF baada ya kunyanganywa ofisi za buguruni na msajili wa vyama vya siasa. Hivyo Maalim Seif alipohamia ACT akahamisha na hiyo ofisi yake. Sio akina Zitto walioijenga, wao wamemalizia ukarabati.

3. Tatu, CHADEMA kwa sasa haipokei Ruzuku, na ndio chama pekee ambacho hakijawahi kupata hati chafu kwenye mahesabu yao ukiondoa kasoro ndogo zilibainishwa na CAG.

4. Nnne, Mwenyekiti sio wa kurithi Bali huchaguliwa na wanachama. Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA alikuwa Mtei, akamuachia Bob Makani na Makani akamuachia Mbowe. Kumbuka mwaka 97 na kuendelea Mbowe alikuwa Mwenyekiti wa Vijana Chadema na mwaka 2000 alikuwa mbunge wa Hai na 2005 akapitishwa kugombea urais. Kipindi hicho CHADEMA haina nguvu Kama leo, lakini Mbowe akakiweka kwenye limelight kwa jinsi alivyoendesha kampeni zake mwaka 2005. Kwanza kwa kutumia helcopter, pili, kwa kuvaa combat ,tatu kwa kutumia msemo wake wa people's power na nne hoja zake zilikuwa na nguvu Sana. Kuanzia Hapo 2005 CHADEMA ilianza kupata jina na ufuasi mkubwa bara.

Mbowe amepata back kubwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA muda mrefu maana ndio ameleta mageuzi CHADEMA na kuinfluence watu wengi kuhamia CHADEMA. Zitto na unafiki wake anakiri Mbowe ndio aliyemuinpire kuingia CHADEMA kwa kumtembelea UDSM na kumshawishi awaingize vijana wengi CHADEMA. Kutokana kuinfluence watu wengi ndio maana ameendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda mrefu.

5. Tano, nakushauri, kabla hujaongea kitu fanya utafiti. Usiongee tu kisa unajisikia kuongea , ipo siku utaulizwa kwa nini uliongea hivyo utakosa majibu.
 
Back
Top Bottom