Kwanini kuwa na double standard? CHADEMA amkeni na acheni upoyoyo

Angalia umri WA unayemjibu, angalia experience ya GT wa JF, hawa mediocre wawili!
Wanapropagandist! Hawajui wasemayo!
 
Wewe punguani kumbe haufi[emoji16]

Punguza ujinga punguani mwenyewe. Nani kasema hafi? Nimekupa ushauri mdogo usimfanyie dhihaka mwenzako kisa anayo makengeza, hujui kesho yako itakuwaje. Nikakupa mfano mdogo wa mtu aliyemfanyika dhihaka mwenzake kisa ana afya mbovu kwa kupiga push up, lakini akafa yeye akamuacha mwenye afya mbovu. Wewe endele kujitoa fahamu, hujui kesho utaamkaje.
 
Zitto na unafiki wake anakiri Mbowe ndio aliyemuinpire kuingia CHADEMA kwa kumtembelea UDSM na kumshawishi awaingize vijana wengi CHADEMA.
Zitto alijiunga chadema akiwa bado mwanafunzi "O" level, kipindi chadema ikiwa na nguvu Kigoma kuliko hata huko machame.
 
Zitto alijiunga chadema akiwa bado mwanafunzi "O" level, kipindi chadema ikiwa na nguvu Kigoma kuliko hata huko machame.

Leo umekubali CHADEMA siyo ya uchagani? Nafahamu hilo, na lilitokana na uchaguzi mdogo wa ubunge nadhani mwaka 1993 Kati ya CCM na CHADEMA ya kabourou.
 
We nae hebu waza kutumia hata kalio lako!! Hapo Kuna wivu? Au mtu kasema uhalisia?, Puuzi kabisa wewe.
Khaaaaaaa kwa hiyo jamaa sasa hivi anawaza kwa kutumia nini mkuu? Mi niliwaza anatumia hicho ulichokitaja
 
Wewe punguani kaoshe vibabu ubelgiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…