BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Wakati Chadema ikipinga huu wizi wapambe wa Magufuli walikuwa wanatutukanaMi nashauri vikokotoo vyote vifutwe, mtu akistaafu apewe hela yake yote.
Nawasilisha
Ni kutesana tu, mtu ametunza hela zake, wakati wa kuzichukua unampangia mashartiWakati Chadema ikipinga huu wizi wapambe wa Magufuli walikuwa wanatutukana
Hela zenyewe zipo?Mi nashauri vikokotoo vyote vifutwe, mtu akistaafu apewe hela yake yote.
Nawasilisha
Ni kutesana tu, mtu ametunza hela zake, wakati wa kuzichukua unampangia masharti
Kwani vikokotoo vina wahusu Waajiriwa wa kada gani? Maana kuna ndugu yetu kastaafu kapewa mafao yake yote na kila mwisho wa mwezi ana pokea pensheni mpaka atakapo fariki.Wakati Chadema ikipinga huu wizi wapambe wa Magufuli walikuwa wanatutukana
Afghanistan,Bumbav sana hawa, islamad!
Korokorokwinyo kukubata, walioleta kikokotoo!
Rift valley![emoji35][emoji35][emoji35]
Aliyeharibu ni JPMKabla PSSSF Act ya 2018 haijatungwa Ukistaafu ulikuwa unapewaa 75% ya mafao... 25% unakuja kupewa kwenye monthly pension...
sababu kubwa ya kubadilika kutoka kupewa 75% na kupewa 25% ni ukosevu wa fedha uliosababishwa na uchaguzi wa 2015 ambapo CCM ilichukua mkopo kwenye mifuko ya hifadhi za jamii bila kuweka security yoyote.....
ikabidi Serikali waunganishe mifuko yote Ya jamii wakaanzisha PSSSF na pia wakachange kikokotoo kwenda kwenye 25%
Ukiongea unaonekana mpinga maendeleo ila huu ndiyo ukwelAliyeharibu ni JPM
Naelekea hukoWe ni mstaafu?