0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,155
- 11,168
Kwasasa usitegemee mwanamke anaweza kukuonea huruma wewe mume wake, haijalishi unapambana vipi kwa ajili ya familia yako, anytime anaweza kukufanyia tukio la hatari.
Kwasasa hawa viumbe tuliozoea kuamini kuwa wana huruma, huruma wamebakiza kwa watoto wao na kwa ndugu zao wa damu tu.
Sometimes nawaza labda mienendo yetu sie wanaume ndio imewabadilisha hivi, yale mambo yetu ya kuwanyanyasa, kufanya mambo bila kuwashirikisha, usaliti na mengine mengi.
Haya ni mambo ambayo kwasasa wanawake wanatufanyia wanaume bila kuwa na hata chembe ya huruma hata majuto hawana:-
* Mwanamke anazaa nje ya ndoa,unapambana kuhakikisha watoto wanasoma unapgwa mvua na jua na bado mwanamke anakuwa anakuchanganya kwa inshu za ajabu ajabu pasipo hata kuwaza kuwa huyu mtu anahangaika kusomesha damu zingine zisizokuwa zake ni heri nimpeleke taratibu,hilo hawa viumbe hawana.
* Mwanamke anapoona watoto wamekuwa wakubwa wanaweza kujitegemea na kumtumia vihela yeye, basi mumewe waliezeeshana anaanza kumuona sio lolote, Mara hataki tena kukaa kwake anaenda kwa vijana wake.
* Upo mihangaiko unarudi nyumbani unakuta mke kabeba kila kitu ndani kasepa, wakati hivyo vitu kuvipata umetumia takiribani miaka 3.
Kwasasa hawa viumbe tuliozoea kuamini kuwa wana huruma, huruma wamebakiza kwa watoto wao na kwa ndugu zao wa damu tu.
Sometimes nawaza labda mienendo yetu sie wanaume ndio imewabadilisha hivi, yale mambo yetu ya kuwanyanyasa, kufanya mambo bila kuwashirikisha, usaliti na mengine mengi.
Haya ni mambo ambayo kwasasa wanawake wanatufanyia wanaume bila kuwa na hata chembe ya huruma hata majuto hawana:-
* Mwanamke anazaa nje ya ndoa,unapambana kuhakikisha watoto wanasoma unapgwa mvua na jua na bado mwanamke anakuwa anakuchanganya kwa inshu za ajabu ajabu pasipo hata kuwaza kuwa huyu mtu anahangaika kusomesha damu zingine zisizokuwa zake ni heri nimpeleke taratibu,hilo hawa viumbe hawana.
* Mwanamke anapoona watoto wamekuwa wakubwa wanaweza kujitegemea na kumtumia vihela yeye, basi mumewe waliezeeshana anaanza kumuona sio lolote, Mara hataki tena kukaa kwake anaenda kwa vijana wake.
* Upo mihangaiko unarudi nyumbani unakuta mke kabeba kila kitu ndani kasepa, wakati hivyo vitu kuvipata umetumia takiribani miaka 3.