Kwanini kwenye kesi ya Mbowe hakuna shahidi huru aliyeshiriki mchakato wa upekuzi?

Kwanini kwenye kesi ya Mbowe hakuna shahidi huru aliyeshiriki mchakato wa upekuzi?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Kati Mashahidi wote waliotajwa na Jamhuri hakuna shahidi ambaye alishuhudia upekuzi nyumbani kwa watuhumiwa. Mara nyingi upekuzi unapofanyika viongozi wa serikali ya mtaa ushiriki na utumika mahakamani kuthibitisha kwamba vielelezo vilivyokutwa kwa mtuhumiwa ni sahihi kwa uelewa wake.

Katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake Mashahidi wengi Ni Watumishi wa umma ambao wanatoka kwenye dola. Lakini hati ya mashtaka na vielelezo vinaonyesha kulifanyika upekuzi nyumbani kwa watuhumiwa, kwakuwa Polisi wanaonekana walikuwa well informed kabla ya arrest na upekuzi walishindwa Nini kushirikisha viongozi wa eneo husika au hata majirani kuonyesha kweli kwamba uniforms za Jeshi na vitu vingine vimekutwa kwa watuhumiwa?

Nakumbuka kesi ya mdude ilikuwa na elements Kama hizi ambapo huoni shahidi nje ya Polisi na dola kwenye mchakato wa uchunguzi. Hati ya upekuzi inasainiwa na mtuhumiwa labda na mke wake ambapo tunaelewa wazi kwamba mke awezi kumtolea ushahidi wakumfunga mmewe hasa kwa kesi asiyo na maslahi nayo. Lakini pia zipo kesi nyingi ambazo tuhuma uelekezwa kwa Jamhuri kwamba vielelezo walikwenda navyo kwa mtuhumiwa na wanapotakiwa kuthibitisha ushindwa.

Je, Hali hii yakukosekana independent witness ilitokea kimakosa au ilifanywa kwa kiburi kwamba mtu anaweza akafanya afanyavyo nakupeleka mahakamani?

Sehemu nyingine Ni pale unapogundua Mbowe alipohojiwa hakukuwepo mwanasheria wake na hapa unakutana na maelezo mahakamani kwamba watuhumiwa wanayakana maelezo yao means hata maelezo yaliyofikishwa mahakamani Yana utata na mjadala. Kwanini kesi nyeti Kama hii inakosa ladha ya professionalism? Maana hata Kama nimaelekezo Kama watu wanavyosema Basi ionekane consistency ya ideas,facts na elements.
 
Nsema unaleta habari nzuri kabisa zenye weledi, lkn hutarudi kujadili na wadau
 
Walafi wamadaraka lengo la hii kesi ni kumpa Rais frustration ili kumvuruga na kukiona kiti cha uraisi ni cha moto kila mahali wamemwaribia mara tozo mara Royal Tour na kuedit picha kizembe. Sasa Rais anaoneka ni kituko kabisa.

 
Pole ndugu yamgu kama unaamini kuwa ndani ya jeshi hilo kuna mwenye hata chembe ya weledi. Wao hufanya shughuli zao kama genge la maharamia.
 
Hata kama hapakuwepo na independent witness bado ushahidi uliochukuliwa na polisi lazima Mbowe akiri kuufahamu na kuuona, kinyume na hapo ushahidi huo hautakuwa na maana mahakamani kisheria.

Ushahidi wa vitu hivyo huchukuliwa kwa kuandikwa majina ya vitu husika kwenye karatasi na mwisho mtuhumiwa hutakiwa kusaini kama ishara ya kukubaliana na vitu vilivyoandikwa, kama hajaridhika hata saini.
 
Mbona inajulikana kwamba Wanasheria wa serikali hamna kitu !
 
Kati Mashahidi wote waliotajwa na Jamhuri hakuna shahidi ambaye alishuhudia upekuzi nyumbani kwa watuhumiwa. Mara nyingi upekuzi unapofanyika viongozi wa serikali ya mtaa ushiriki na utumika mahakamani kuthibitisha kwamba vielelezo vilivyokutwa kwa mtuhumiwa ni sahihi kwa uelewa wake.

Katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake Mashahidi wengi Ni Watumishi wa umma ambao wanatoka kwenye dola. Lakini hati ya mashtaka na vielelezo vinaonyesha kulifanyika upekuzi nyumbani kwa watuhumiwa, kwakuwa Polisi wanaonekana walikuwa well informed kabla ya arrest na upekuzi walishindwa Nini kushirikisha viongozi wa eneo husika au hata majirani kuonyesha kweli kwamba uniforms za Jeshi na vitu vingine vimekutwa kwa watuhumiwa?

Nakumbuka kesi ya mdude ilikuwa na elements Kama hizi ambapo huoni shahidi nje ya Polisi na dola kwenye mchakato wa uchunguzi. Hati ya upekuzi inasainiwa na mtuhumiwa labda na mke wake ambapo tunaelewa wazi kwamba mke awezi kumtolea ushahidi wakumfunga mmewe hasa kwa kesi asiyo na maslahi nayo. Lakini pia zipo kesi nyingi ambazo tuhuma uelekezwa kwa Jamhuri kwamba vielelezo walikwenda navyo kwa mtuhumiwa na wanapotakiwa kuthibitisha ushindwa.

Je, Hali hii yakukosekana independent witness ilitokea kimakosa au ilifanywa kwa kiburi kwamba mtu anaweza akafanya afanyavyo nakupeleka mahakamani?

Sehemu nyingine Ni pale unapogundua Mbowe alipohojiwa hakukuwepo mwanasheria wake na hapa unakutana na maelezo mahakamani kwamba watuhumiwa wanayakana maelezo yao means hata maelezo yaliyofikishwa mahakamani Yana utata na mjadala. Kwanini kesi nyeti Kama hii inakosa ladha ya professionalism? Maana hata Kama nimaelekezo Kama watu wanavyosema Basi ionekane consistency ya ideas,facts na elements.
Umewakumbusha,watamchongesha haraka haraka na haikosi watafanya makosa tena.Kesi hii ingekuwa katika Mahakama huru na mbele ya Hakimu/Judge mweledi ingeshafutwa zamani.
Mambo ya polisi wetu hayo. Mwisho wa siku kesi zote wanaishia kushindwa! Na cha kushangaza bado wanaendelea tu na maigizo yao kila siku.
Hawajifunzi hata kidogo kutokana na makosa yao.Sifahamu lini wataanza kutumia hata hizo akili chache walizobakiwa nazo.
 
Kati Mashahidi wote waliotajwa na Jamhuri hakuna shahidi ambaye alishuhudia upekuzi nyumbani kwa watuhumiwa. Mara nyingi upekuzi unapofanyika viongozi wa serikali ya mtaa ushiriki na utumika mahakamani kuthibitisha kwamba vielelezo vilivyokutwa kwa mtuhumiwa ni sahihi kwa uelewa wake.

Katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake Mashahidi wengi Ni Watumishi wa umma ambao wanatoka kwenye dola. Lakini hati ya mashtaka na vielelezo vinaonyesha kulifanyika upekuzi nyumbani kwa watuhumiwa, kwakuwa Polisi wanaonekana walikuwa well informed kabla ya arrest na upekuzi walishindwa Nini kushirikisha viongozi wa eneo husika au hata majirani kuonyesha kweli kwamba uniforms za Jeshi na vitu vingine vimekutwa kwa watuhumiwa?

Nakumbuka kesi ya mdude ilikuwa na elements Kama hizi ambapo huoni shahidi nje ya Polisi na dola kwenye mchakato wa uchunguzi. Hati ya upekuzi inasainiwa na mtuhumiwa labda na mke wake ambapo tunaelewa wazi kwamba mke awezi kumtolea ushahidi wakumfunga mmewe hasa kwa kesi asiyo na maslahi nayo. Lakini pia zipo kesi nyingi ambazo tuhuma uelekezwa kwa Jamhuri kwamba vielelezo walikwenda navyo kwa mtuhumiwa na wanapotakiwa kuthibitisha ushindwa.

Je, Hali hii yakukosekana independent witness ilitokea kimakosa au ilifanywa kwa kiburi kwamba mtu anaweza akafanya afanyavyo nakupeleka mahakamani?

Sehemu nyingine Ni pale unapogundua Mbowe alipohojiwa hakukuwepo mwanasheria wake na hapa unakutana na maelezo mahakamani kwamba watuhumiwa wanayakana maelezo yao means hata maelezo yaliyofikishwa mahakamani Yana utata na mjadala. Kwanini kesi nyeti Kama hii inakosa ladha ya professionalism? Maana hata Kama nimaelekezo Kama watu wanavyosema Basi ionekane consistency ya ideas,facts na elements.
Nakushauri usubiri ushahidi uanze kutolewa, labda hakukaguliwa, au alikaguliwa wakakuta hakuna kitu? Subiri. Kuna activist anajiita Lawyer Makedele alisema Mbowe kawekwa kwenye kundi la waliohukumiwa kunyonga, kumbe si kweli alijisemea tu kumnogesha tundulissu. Nawe usianguke mtego huo.
 
Back
Top Bottom