Bacyclerbacy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,744
- 3,020
Woooooow[emoji54] [emoji54] [emoji54]Pain is pain ,, but wat next ??
Just because someone broke your heart , then someone else can not repair it !!. We shud remain strong ladies and Gents , Be patient while knowing that ,someone outside there he/she is believing in you ,trust you simply because the way you are.
Shida yawatu wengi wanapokosea ,,nipale mnapoingia ktk mahusiano nakumbukumbu zilizopita ,, unakuta mwanamke hajiamin ,,amejawa hofu ,,unakuta mwanamme akigombana na mwanamke wake utasikia anamwambia " wewe ni kama walewale tu ,,Hanna maana ""
Haya nimaneno baadhi wengi tunayatamka bila kujua nini tunakipanda myoyoni mwa wapenzi wetu ...,, matokeo yake tunaishi na wapenzi ambao akilin namyoyon wanajua kua " Ipo siku atatendwa". Sasa ktk point ya mahusiano ,,epuka sana kufikia hii hali ,,maana ,,kama ni kupigwa mizinga yahela utapigwa sanaaaaaaaa nakama kutumiwa kingono utatumika sana usishangae mpaka mtu kukuomba kinyume namaumbile ...hii nisababu nyote kwapamoja mnakua kila mtu anatafuta faida yake binafsi yaan asiwe mpotezaji.
Unapopenda ,,penda nauache moyo upende ,,nilazima tujifunze kupenda na kuifanya dunia iamin kua umependa kweli .....na km unahisi umetendwa na huna Iman ,jipe muda ,,Fanya mambo yako ,,sahihisha makosa yako ,, I hope atakuja mwanamme au mwanamke sahihu sana ktk maisha yako na utajikuta unaujutia ule muda uloutumia na kile kikaragosi chako !!!!.
This is JF.
Words of wisdom and prudence
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Sent using Jamii Forums mobile app