tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Salam!
Nimekuwa najiuliza maswali kuhusu wanachofanya viongozi wa Dini wanapoalikwa kwenye matukio makubwa ya kitaifa hasa yanayomuhusisha Mhe. Rais.
Moja ya swali ninalojiuliza ni namna viongozi hao wanavyofanya SALA/MAOMBI kwa kusoma kama wanasoma risala.
Nauliza ndio utaratibu wa serikali au lazima wanachoenda kuomba kihaririwe na mamlaka za Rais zinazohusika? Nimeuliza maana sio utaratibu kwenye nyumba zetu za ibada kiongozi kusoma maombi kama anasoma biblia.
Nimekuwa najiuliza maswali kuhusu wanachofanya viongozi wa Dini wanapoalikwa kwenye matukio makubwa ya kitaifa hasa yanayomuhusisha Mhe. Rais.
Moja ya swali ninalojiuliza ni namna viongozi hao wanavyofanya SALA/MAOMBI kwa kusoma kama wanasoma risala.
Nauliza ndio utaratibu wa serikali au lazima wanachoenda kuomba kihaririwe na mamlaka za Rais zinazohusika? Nimeuliza maana sio utaratibu kwenye nyumba zetu za ibada kiongozi kusoma maombi kama anasoma biblia.