Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Kitu ambacho ni kosa sana kimaadili maana jikoni sio chooni. Kumpitishia mgeni jikoni sio sahihi.Nime experience hii nyumba zetu nyingi sana huwa milango ya jikoni ndiyo inatumika watu kuingilia. Ni nadra sana front doors ikatumika. Sababu ni nini?
Ndio kwenye maanjumati!Nime experience hii nyumba zetu nyingi sana huwa milango ya jikoni ndiyo inatumika watu kuingilia. Ni nadra sana front doors ikatumika. Sababu ni nini?
hahahahaSisi tunaopikia kuni na majiko ya nje uzi umetutenga.