Nimekupata mdau,,,Mkuu hao walatini au warumi ndio waanzilishi wa mifumo ya kisheria au waendelezaji wazuri waliorasimisha mifumo ya kisheria tunayoiga. Hasa manguli kama akina Marcus Tallius Cicero na wahenga wenzie akina Quintus Hortensius Hortulus.
Mambo mengine hupendeza na kutopoteza maana yake ya asili kama hayajatafsiriwa kutoka lugha ya asili ya muanzilishi kama hao niliowataja japo nao walijifunza hizo study toka kwa utamaduni wa wanafalsafa wa kiyunani(wagiriki).
NOTICE: Haya ni maelezo toka kwa mtu asiyekuwa na taaluma ya sheria bali mpenda historia. Taaluma yangu ni ya sayansi lakini nina hobby ya kusoma historia hivyo naweza kuwa sipo sahihi hata kidogo.
Tupo pamoja mdau.Nimekupata mdau,,,
Sawa kabisa...kilatin hakibadiliki...kiko hivohivo.....Latin haijawa subjected na changes sana.
Hii kitu umepata wapi mdau? Nisaidie source ya huko ulikotoa, nimependa maelezo yako.Mkuu hao walatini au warumi ndio waanzilishi wa mifumo ya kisheria au waendelezaji wazuri waliorasimisha mifumo ya kisheria tunayoiga. Hasa manguli kama akina Marcus Tallius Cicero na wahenga wenzie akina Quintus Hortensius Hortulus.
Mambo mengine hupendeza na kutopoteza maana yake ya asili kama hayajatafsiriwa kutoka lugha ya asili ya muanzilishi kama hao niliowataja japo nao walijifunza hizo study toka kwa utamaduni wa wanafalsafa wa kiyunani(wagiriki).
NOTICE: Haya ni maelezo toka kwa mtu asiyekuwa na taaluma ya sheria bali mpenda historia. Taaluma yangu ni ya sayansi lakini nina hobby ya kusoma historia hivyo naweza kuwa sipo sahihi hata kidogo.
Mkuu, Kilatin hakina mkanganyiko (ambinguities) na kinapunguza wingi wa maneno. LAKINI hiyo inakolezwa na swaga za wanasheria km kawa.Anything attached to the land form part and parcel of land.
Hahahahahahahahahaha
Usinibip,
Nipe tuu sababu za kuwepo kwa kilatini na Kifaransa kwenye sheria.
Kwa sasa katafute google habari za Cicero na umaarufu wake kwenye mambo ya sheria na uongozi. Na kazi uandishi.Hii kitu umepata wapi mdau? Nisaidie source ya huko ulikotoa, nimependa maelezo yako.
Swali zuri, ukipata muda soma hizi research zitakupa majibu mazuri zaidi na utaridhikaHabarini wadau.
Kuna lugha nyingi sana duniani, lakini kwanini kwenye sheria utakuta wanatumia misamiati ya kilatini na Kifaransa? Na ni kwanini ziwe hizo tuu? Natanguliza shukrani zangu.
Ni zile zile ulizofundishwa kwenye somo la Elimu ya Viumbe (Biology) kwenye ClassificationsAnything attached to the land form part and parcel of land.
Hahahahahahahahahaha
Usinibip,
Nipe tuu sababu za kuwepo kwa kilatini na Kifaransa kwenye sheria.