Ungekua wewe ungeweza kuacha deal la Europe ucheze Simba?kaka watu wa tanga wana ROHO ZA KIMASIKINI SANA.
Ubelgiji ya wapi mbona ligi ya Kule ishaanza hata picha yake akifanya mazoezi haipoWalileta usela kwenye usela Coast akaleta uhuni,mchezaji sasa hivi yupo ubeligiji huko.
Ndio hivyo kwa mujibu wa msemaji wa Coastal, Lawi amendable Ubeligiji kwa majaribio ila sijajua kama katoboa au la.Ubelgiji ya wapi mbona ligi ya Kule ishaanza hata picha yake akifanya mazoezi haipo
Kaenda timu gani Europe?Ungekua wewe ungeweza kuacha deal la Europe ucheze Simba?
Hawana data....Kaenda timu gani Europe?
Wapi Coastal wamewaomba mkayaongee? Hebu tafuta hata intvw za msemaji wa Coastal.Boko mmetoa wenyewe, mlivyo enda TFF mkagonga mwamba.Lawi hayupo cha Europe wala yuropa..yupo hapo kosto...ni kwamba kosto wanawaomba Simba wakayaongee ila Simba wameamua kuachana nao...by the way TiFua tifua iliwaambia kosto na Simba wakae mezani wayamalize...so Simba kaaamua kupotezea...
sio mchezaji waoSimba walitangaza kumsajili Lameck Lawi katika kurasa zao za mitandao ya kijamii, kwanini jana hakutambulishwa kwenye tamasha la Simba day?View attachment 3061762
Tafuta mwenyeweWapi Coastal wamewaomba mkayaongee? Hebu tafuta hata intvw za msemaji wa Coastal.Boko mmetoa wenyewe, mlivyo enda TFF mkagonga mwamba.
Punguza uongo kakaLawi hayupo cha Europe wala yuropa..yupo hapo kosto...ni kwamba kosto wanawaomba Simba wakayaongee ila Simba wameamua kuachana nao...by the way TiFua tifua iliwaambia kosto na Simba wakae mezani wayamalize...so Simba kaaamua kupotezea...
Naona umeishiwa content dada yangu...unadhani utanitoa kwny reli...Punguza uongo kaka
Mpanzu je?Simba walitangaza kumsajili Lameck Lawi katika kurasa zao za mitandao ya kijamii, kwanini jana hakutambulishwa kwenye tamasha la Simba day?View attachment 3061762