Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Kwanini Mheshimiwa Lissu asipambane kutetea nafasi aliyonayo kwa sasa huku akizidi kukusanya uzoefu? Shida ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu ana damu mpya toka lini?Ushaambiwa CHEDEMA inaitaji damu mpya kwenye nafasi ya mwenyekiti kuongoza mapambano dhidi ya kile chama chakavu cha kijani.
Uzoefu gani unautaka wewe mtu ameshika nafasi kibao ndani ya Chama tena kubwa kubwa tuKwanini Mheshimiwa Lissu asipambane kutetea nafasi aliyonayo kwa sasa huku akizidi kukusanya uzoefu?
Hapa CHADEMA hatutaki Mwenyekiti lopolopoUzoefu gani unautaka wewe mtu ameshika nafasi kibao ndani ya Chama tena kubwa kubwa tu
Kwa hiyo Lissu alishawahi kuwa mwenyekiti wa nyama au ndio kujitoa ufahamu?Lisu ana damu mpya toka lini?
Nani lopolopoHapa CHADEMA hatutaki Mwenyekiti lopolopo
mbona huko serikalini kila mwaka mnataka kupandishwa madaraja kwanini msibaki mlivyoKwanini Mheshimiwa Lissu asipambane kutetea nafasi aliyonayo kwa sasa huku akizidi kukusanya uzoefu? Shida ni nini?
Utaelewa subiri kidgo tuLisu ana damu mpya toka lini?
Huyo ni mgombea wa Urais kwa tiketi ya chadema 2020 hawezi kuwa lopolopo labda kama umeanza kuchanganyikiwa kama NtobiHapa CHADEMA hatutaki Mwenyekiti lopolopo
aliyoongezewa toka nairobiLisu ana damu mpya toka lini?