Kwanini Liverpool hawakushangilia goli na Keita Hata Klopp anashanga

Kwanini Liverpool hawakushangilia goli na Keita Hata Klopp anashanga

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuqa wanajamvi!

Habari za weekend matumaini yangu wote ni wazima na buher wa Afya.

Faster kwenye mada. Keita jana usiku alifunga goli Lake la kwanza tangu ajiunge na Liver na lilikuwa muhimu sana kwasababu alisawazisha.

Cha kushangaza wenzake hawakushangilia naye ispokuwa muafrica mwenzake ambaye pia ni jirani yake msenegal Mane alienda na kushangalia naye.

Hata kwenye press Jurgen Klopp kamaind sana nakuliongelea hili jambo.

chaliifrancisco na wakereketwa wengine wa liver humu tunawaletea malalamishi kwenu hii taswira iliyoonyeshwa jana na liver haivumiliki kabisa. Tunanataka maelezo zaidi na jambo kama hili lisitokee tena.

Wadau wa mpira tumemaindi sana. Licha ya yote tunawaombea liver mtwae ubingwa.

I sit down not to be corrected
 
Hahaha dah asee mnashindwa kuelewa kuwa mentality ya wachezaji wa Liverpool na hao mediocres wengine ni tofauti.

Lile goli lilikua ni bounce back! Kwamba tayari tulishafungwa moja tumechomoa, kwa mentality ya team ya ushindi na watu walio serious hatuwezi kupoteza muda kushangilia sana. Tunahitaji mpira urudi kati haraka ili tuweze kuwa pressure wapinzani ikiwezekana tuwafunge la pili kabla ya HT.

That's it for me, wala hilo suala sikulifikiria ndio sasa naona hapa kwenye hii topic. Ni jambo la kawaida sana mbona katika soka. Tumeona mara ngapi watu wanasawazisha na kukimbilia wavuni wenyewe kuokota mpira na kuuwahisha kati?

Ni kwasababu wanajua kama walikuwa wanamsaka mpinzani msako wa mgambo wanajua kabisa kupoteza hata sekunde 30 tu kunaweza ku shift momentum ya mechi.

Nadhani hapa labda timing ya goal ndio shida na aliefunga labda. Hata angefunga Salah isingekuwa tofauti. Na hata kama ni Keita angekuwa amefunga lile la pili angeshangiliwa zaidi maana ni kama match winning goal.

So tunaomba haters m-focus kwenye mambo ya msingi mtuache kidogo haya mambo myalete tukiwa kwenye pre season tujadili maana kwasasa tunataka ubingwa kwanza.

Hiki hapa ni kipande cha article iliyoandikwa LiverpoolEcho, Klopp akizungumzia hilo suala.

___________________________________________
Jurgen Klopp has revealed how Naby Keita was mobbed by his Liverpool team-mates in the dressing room following their thrilling 3-1 win at Southampton.

The £52.5million midfielder marked his first Premier League start for two months with his first goal for the Reds at St Mary's.

Only Sadio Mane celebrated with Keita after he had equalised with a first-half header, but Klopp insists that was only because the rest of the side were so keen to get on with the game. The manager says they saved their congratulations for after the match on the south coast.

___________________________________________


MosDef Don Clericuzio
 
African Princes.

[emoji772][emoji772][emoji772]
Screenshot_20190406-082906.jpeg
Screenshot_20190406-082924.jpeg
Screenshot_20190406-082942.jpeg
Screenshot_20190406-083001.jpeg
 
Hahaha dah asee mnashindwa kuelewa kuwa mentality ya wachezaji wa Liverpool na hao mediocres wengine ni tofauti.

Lile goli lilikua na bounce back! Kwamba tayari tulishafungwa moja tumechomoa, kwa mentality ya team ya ushindi na watu walio serious hatuwezi kupoteza muda kushangilia sana. Tunahitaji mpira urudi kati haraka ili tuweze kuwa pressure wapinzani ikiwezekana tuwafunge la pilu kabla ya HT.

That's it for me, wala hilo suala sikulifikiria ndio sasa naona hapa kwenye hii topic. Ni jambo la kawaida sana mbona katika soka. Tumeona mara ngapi watu wanasawazisha na kukimbilia wavuni wenyewe kuokota mpira na kuuwahisha kati?

Ni kwasababu wanajua kama walikuwa wanamsaka mpinzani msako wa mgambo wanajua kabisa kupoteza hata sekunde 30 tu kunaweza ku shift momentum ya mechi.

Nadhani hapa labda timing ya goal ndio shida na aliefunga labda. Hata angefunga Salah isingekuwa tofauti. Na hata kama ni Keita angekuwa amefunga lile la pili angeshangiliwa zaidi maana ni kama match winning goal.

So tunaomba haters m-focus kwenye mambo ya msingi mtuache kidogo haya mambo myalete tukiwa kwenye pre season tujadili maana kwasasa tunataka ubingwa kwanza.

Hiki hapa ni kipande cha article iliyoandikwa LiverpoolEcho, Klopp akizungumzia hilo suala.

___________________________________________
Jurgen Klopp has revealed how Naby Keita was mobbed by his Liverpool team-mates in the dressing room following their thrilling 3-1 win at Southampton.

The £52.5million midfielder marked his first Premier League start for two months with his first goal for the Reds at St Mary's.

Only Sadio Mane celebrated with Keita after he had equalised with a first-half header, but Klopp insists that was only because the rest of the side were so keen to get on with the game. The manager says they saved their congratulations for after the match on the south coast.

___________________________________________


MosDef Don Clericuzio
Thanks bro for the in depth explanation.

Ul never walk alone
 
Ok. Walimpongeza baada ya mechi. Hata hivyo that's not normal. In most cases, the celebration occurs after the goal is scored and I think that's the reason behind some people's curiosity.
 
Hahaha dah asee mnashindwa kuelewa kuwa mentality ya wachezaji wa Liverpool na hao mediocres wengine ni tofauti.

Lile goli lilikua ni bounce back! Kwamba tayari tulishafungwa moja tumechomoa, kwa mentality ya team ya ushindi na watu walio serious hatuwezi kupoteza muda kushangilia sana. Tunahitaji mpira urudi kati haraka ili tuweze kuwa pressure wapinzani ikiwezekana tuwafunge la pili kabla ya HT.

That's it for me, wala hilo suala sikulifikiria ndio sasa naona hapa kwenye hii topic. Ni jambo la kawaida sana mbona katika soka. Tumeona mara ngapi watu wanasawazisha na kukimbilia wavuni wenyewe kuokota mpira na kuuwahisha kati?

Ni kwasababu wanajua kama walikuwa wanamsaka mpinzani msako wa mgambo wanajua kabisa kupoteza hata sekunde 30 tu kunaweza ku shift momentum ya mechi.

Nadhani hapa labda timing ya goal ndio shida na aliefunga labda. Hata angefunga Salah isingekuwa tofauti. Na hata kama ni Keita angekuwa amefunga lile la pili angeshangiliwa zaidi maana ni kama match winning goal.

So tunaomba haters m-focus kwenye mambo ya msingi mtuache kidogo haya mambo myalete tukiwa kwenye pre season tujadili maana kwasasa tunataka ubingwa kwanza.

Hiki hapa ni kipande cha article iliyoandikwa LiverpoolEcho, Klopp akizungumzia hilo suala.

___________________________________________
Jurgen Klopp has revealed how Naby Keita was mobbed by his Liverpool team-mates in the dressing room following their thrilling 3-1 win at Southampton.

The £52.5million midfielder marked his first Premier League start for two months with his first goal for the Reds at St Mary's.

Only Sadio Mane celebrated with Keita after he had equalised with a first-half header, but Klopp insists that was only because the rest of the side were so keen to get on with the game. The manager says they saved their congratulations for after the match on the south coast.

___________________________________________


MosDef Don Clericuzio
Una akili sana mda mwingine kaka yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok. Walimpongeza baada ya mechi. Hata hivyo that's not normal. In most cases, the celebration occurs after the goal is scored and I think that's the reason behind some people's curiosity.

Umesoma jibu pale juu la chaliifrancisco?

Jaribu kuangalia games ambazo timu inayotafuta ushindi kwa nguvu kama huwa inapoteza muda kushangilia goli la kurudisha.

Unless siyo mfatiliaji.
 
Hahaha dah asee mnashindwa kuelewa kuwa mentality ya wachezaji wa Liverpool na hao mediocres wengine ni tofauti.
Lile goli lilikua ni bounce back! Kwamba tayari tulishafungwa moja tumechomoa, kwa mentality ya team ya ushindi na watu walio serious hatuwezi kupoteza muda kushangilia sana. Tunahitaji mpira urudi kati haraka ili tuweze kuwa pressure wapinzani ikiwezekana tuwafunge la pili kabla ya HT.
That's it for me, wala hilo suala sikulifikiria ndio sasa naona hapa kwenye hii topic. Ni jambo la kawaida sana mbona katika soka. Tumeona mara ngapi watu wanasawazisha na kukimbilia wavuni wenyewe kuokota mpira na kuuwahisha kati?
Ni kwasababu wanajua kama walikuwa wanamsaka mpinzani msako wa mgambo wanajua kabisa kupoteza hata sekunde 30 tu kunaweza ku shift momentum ya mechi.
Nadhani hapa labda timing ya goal ndio shida na aliefunga labda. Hata angefunga Salah isingekuwa tofauti. Na hata kama ni Keita angekuwa amefunga lile la pili angeshangiliwa zaidi maana ni kama match winning goal.
So tunaomba haters m-focus kwenye mambo ya msingi mtuache kidogo haya mambo myalete tukiwa kwenye pre season tujadili maana kwasasa tunataka ubingwa kwanza.
Hiki hapa ni kipande cha article iliyoandikwa LiverpoolEcho, Klopp akizungumzia hilo suala.
___________________________________________
Jurgen Klopp has revealed how Naby Keita was mobbed by his Liverpool team-mates in the dressing room following their thrilling 3-1 win at Southampton.
The £52.5million midfielder marked his first Premier League start for two months with his first goal for the Reds at St Mary's.
Only Sadio Mane celebrated with Keita after he had equalised with a first-half header, but Klopp insists that was only because the rest of the side were so keen to get on with the game. The manager says they saved their congratulations for after the match on the south coast.
___________________________________________
MosDef Don Clericuzio

No more no less Kop.

YNWA.
 
Mabeberu katika ubora wao...ila Mabeberu weusi wanaona tukio hilo ni la kawaida tu...

Liverpoor fans, achaneni na hilo litimu lenye gundu, njooni Man city....ubingwa ni wetu!
 
Back
Top Bottom