MBUNGE wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina kwanini hakuchangia Azimio la Bunge la Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai? Naomba mwenye kufahamu atusaidie.
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Mhe. Luhaga Joelson Mpina akiomba dua baada ya kuzuru Kaburi la Rais wa Kwanza wa Zanzibar na mmoja wa waasisi wa Muungano wa Tanzania, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Spika katika Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui Zanzibar, Januari 14, 2022.