Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
CEO wa Apple pia BWABWA!!!
Ila wewe imekupa ufunguo wa jukwaa la UREMBO,MITINDO NA UTANASHATI ukute nimewazungumzia ma - designer wa ujenzi na wengine kwenye jukwaa lisilowahusu ???Bado haikupi ufunguo wa ku-generalise .....ila kama umeamua,endelea kung'ang'ania jukwaa jukwaa.
Kwa wenzetu mashoga ni watu kama watu wengine.. wanapumua.. wana vipaji.. na wanafanya kazi kama watu wengine..Na siyo CEO tu.
Kuna mashoga wengi tu wafanyao kazi kwenye kampuni katika kada mbalimbali.
Usikute mmoja au baadhi ya wahandisi wanaoziunda hizo bidhaa zao ni mashoga!
Huko Google nako wapo wengi tu. Yahoo nako pia.
haitasaidia kwani ulishamsapoti before..Kuanzia sasa boxer zangu za Dolce&Gabbana napiga moto[emoji15]
hahahaha ng'wanapagi vp mkaka mbona unataka kuchomaKuanzia sasa boxer zangu za Dolce&Gabbana napiga moto[emoji15]
Hahahaha umekurupuka kwan hili kukwaaa la nin?Watanzania wengi uelewa wao ni mdogo,wavivu wa kufikiri,hawawezi kuchanganua mambo,hawajisomei kuongeza uelewa wao, hawawezi kutofautisha hata baadhi ya vitu rahisi kabisa mfano tofauti kati ya nyani ngedere na tumbili nimeona hilo hata katika uzi wako unashindwa kuelewa kuwa kuna designers aina nyingi.
Ukifuatilia sana utakaa uchi sasa maana nguo. HutavaaaKuanzia sasa boxer zangu za Dolce&Gabbana napiga moto[emoji15]
Walewale jukwaa jukwaa! Aliye kurupuka kaandika kukwaa badala ya jukwaa.Chukua muda kujifunza usiwe na usipende kufikiri kwa kitu kingine kama kama makalio au mdomo, kufikiri tumia akili.Acha ujuha na ushabiki wa kipumbavu unaelekezwa unashoboka .Hahahaha umekurupuka kwan hili kukwaaa la nin?
Swaga tu.. FashhoonnnHabari zenu wadau.
Naomba niulize hili swali ni kwanini ma - designer wengi ni mashoga au kama si mashoga basi wamekaa kiulainilaini, kiasi kwamba huwatofautishi na hicho wanachotuhumiwa nacho ?????
Karibu tujadiliane.
Duh!Ila tuacheni utani mboli ni tamu acha tu wanaume nao watamani wafigiswee
Kuna pozi nimeliona la kaoge nimekufa mbavuuu kajibinua takko huyoo
HahahaKuanzia sasa boxer zangu za Dolce&Gabbana napiga moto[emoji15]
Dereva wetu kazin nae anavunjishwa kabati. Ni mtu smart by appearance, ana huruma sana...yaani akikuona una mavumbi tuu kwa kiatu anakupa kitambaa ujifute, anapenda sana kukaribiana mkiongea + anasutana umbea na wanawake daily..Habari zenu wadau.
Naomba niulize hili swali ni kwanini ma - designer wengi ni mashoga au kama si mashoga basi wamekaa kiulainilaini, kiasi kwamba huwatofautishi na hicho wanachotuhumiwa nacho ?????
Karibu tujadiliane.
Hadi huyo jamaa ???
Dah mi siwezi mwanaume ni mwanaume tu hata kama ni functionless. Shule niliyosoma kuna wadada majike dume wanapapasa wenzao tulikua hatuvalii nguo mbele yake aisee.
kwani hao ni mashoga???Dolce & Gabbana...
Tom Ford...
Michael Kors...
Mafundi wetu Tz mitaani mbona wengi ni wanaume na wanadesign na kutushonea tangu enzi na enzi na hawana tabia hizi.Sasa mkuu, ukisikia mwanao wa kiume kaamua kufuata kipaji chake ambacho ni desidner utakubali kweli kwa mambo kama haya ???
Inawezekana unamzungumzia yuleee yupo karibu sana na naniliuu. Yaani yule wa zamani wa jamaa, achana naye ngoja niimbe tu "Nanana baby onanana, ghafla visenti sina nimerudi Tandale, nimeshindwa kulipa bima nimeuza madalee", washikaji hapo vipi sauti yangu?Nimesoma na mkaka shoga tulikuwa tunakaa naye pamoja hostel tunavua nguo yupo mpaka tunalala wrote tunamficha matron asimuone muda ukienda analala kwetu tunamuwekea godoro chini analala wana roho nzuri story kwa sana halafu alikuwa anatwambia yeye hawezi ...yake haisimami alikuwa peace sana muda mwingi tulishinda Naye sisi halafu pia ni model ana design nguo