Basi uzi ufungweUsichojua ni kwamba Yanga anaenda kuingia makundi kwa mara ya kwanza toka 1998 wakati Simba imeisha zoea sasa kuingia makundi.... imagine hujawahi kwenda ulaya unafikiri mchecheto wako utakua sawa na anaye enda kila mwaka.
Wanajisahau kwamba michezo michafu wao ndo wanaongoza.KICHWA CHA SHABIKI WA SIMBA AKA MAKOLO
GSM anawapa bahasha marefa
GSM anawapa bahasha TFF
GSM anawapa bahasha timu pinzani wacheze chini ya kiwango
GSM anawapa bahasha timu pinzani zinazocheza na simba
GSM anawapa bahasha mashabiki
GSM anawapa bahasha CAF
GSM anawapa bahasha waandishi wa habari
GSM anawapa bahasha wachezaji wa timu pinzani ili wawaumize wachezaji wa simba
Yanga bado haijaingia makundi mzeeUsichojua ni kwamba Yanga anaenda kuingia makundi kwa mara ya kwanza toka 1998 wakati Simba imeisha zoea sasa kuingia makundi.... imagine hujawahi kwenda ulaya unafikiri mchecheto wako utakua sawa na anaye enda kila mwaka.
Huyu huyu aliyemfananisha Mgunda na andazi?Huwezi kuambatana na msemaji kama ahamed ally anaelopoka vitu asivyovijua..
Yaani simba wamtafute msemaji anaejua mpira ni nini kwanza.
Huyu dogo kamwe, mpira anaujua na akiongea kitu hata mbele za watu wenye heshima zao, anaeleweka na unakua na amani kwa kile atachokizunguza...huyu dogo hata akiingia kwenye siasa, akipanda jukwaani akiongea unamuelewa.
[emoji106]Ndiyo mechi ya wageni wa mashindano!!
Masokolo Mageni.
Yeah, hata hapa JF ni nadra kukuta shabiki wa Yanga anaanzisha uzi kuhusu Simba ila mashabiki wa Simba kila siku Ni kuongelea habari za YangaViongozi wa Yanga wamejitafuta na wamejipata, wamegundua Yanga ina mashabiki, wapenzi na wana chana wengi nje na ndani ya nchi.
Walichofanya ni kuweka nguvu na akilizao kuhamasisha mechi yao na kukataa kabisa kuiongelea Simba katika hamasa zao na mashabiki wame itika.
Matokeo yake Simba imebaki katika uhalisia wake na mambo yake.
Kama yanga wataendelea na utaratibu huu wa kutoitaja Simba katika hamasa zao basi Simba watakua na wakati mgumu ku push ajenda zao.
Simba walikua wanatembelea nyota ya yanga katika kubishana vitu vya kipuuzi.
Hata mlopokaji wa simba kutwa anapuyanga kuhusu YANGA. Yule kazi ya ulopokaji kwa simba imemshindaYeah, hata hapa JF ni nadra kukuta shabiki wa Yanga anaanzisha uzi kuhusu Simba ila mashabiki wa Simba kila siku Ni kuongelea habari za Yanga
Anza na Okwi Boban ,scars,Magufuli, popoma na wengineo kutwa kufungua uzi kuhusu habari za Yanga
Hilo hawalioni kua linaipa mileage Yanga ila wanalalamika waandishi huku wao wakijisahau
Hawa ndio washabiki wa simba Sasa. Uwezo wa kimawazo mfinyu mno. Kulikuwa na sababu gani kutukanana sasaInaonekana hata akikuoomba Trako utamuelewa na kumpa.
Mkuu mimi nimeona nimuangalie tu, kizazi kina shida hiko.Hawa ndio washabiki wa simba Sasa. Uwezo wa kimawazo mfinyu mno. Kulikuwa na sababu gani kutukanana sasa
Ushamba na ulimbukeni wa michezo hii unawasumbua sana,tunawaangalia tu kwa dharaaaauNimeshangaa hakuna uwiano wa habari kwenye vyombo vya habari,mechi inayopewa kipaombele ni ya Yanga vs Al Marekh na mechi ya Simba kupuuzwa.
Hata msafara unaongelewa wa Yanga na msafara wao wa makosta,waandishi wa habari wanaongelea Yanga tu na hata baadhi yao kusafiri na Yanga kama timu nzima ya clouds sport extra.
Kwanini vyombo vya habari vipo biased? Mechi ya Yanga ina nini hasa?
Mashabiki wa Timu kubwa wanapenda na timu popote.acha uzwazwaHatua ya pili tu watu wanaongozana kama manyumbu kwenda kushuhudia , vipi mkivuka robo fainali si mtampeleka rais na baraza zima la mawaziri?
Mashabiki wa timu kubwa daima wanaanza kusafiri na timu baad ya kufika ¼, ½ na fainali tofauti na hapo ni vikundi vya ushangiliaji tu na wapenzi waliopo katika nchi husika. ...
Wewe mbuzi kweli hujasikia utumbo wa KamweHuwezi kuambatana na msemaji kama ahamed ally anaelopoka vitu asivyovijua..
Yaani simba wamtafute msemaji anaejua mpira ni nini kwanza.
Huyu dogo kamwe, mpira anaujua na akiongea kitu hata mbele za watu wenye heshima zao, anaeleweka na unakua na amani kwa kile atachokizunguza...huyu dogo hata akiingia kwenye siasa, akipanda jukwaani akiongea unamuelewa.
Ni ujuha tu. Tuna timu tatu zinazotuwakilisha mashindano ya CAF kwa sssa yaani Singida Big Stars, Simba na Yanga.Nimeshangaa hakuna uwiano wa habari kwenye vyombo vya habari,mechi inayopewa kipaombele ni ya Yanga vs Al Marekh na mechi ya Simba kupuuzwa.
Hata msafara unaongelewa wa Yanga na msafara wao wa makosta,waandishi wa habari wanaongelea Yanga tu na hata baadhi yao kusafiri na Yanga kama timu nzima ya clouds sport extra.
Kwanini vyombo vya habari vipo biased? Mechi ya Yanga ina nini hasa?
Hata waandishi hapa Rwanda wako busy na Yanga tu,hapo tupo mazoezini 😀😀😀Nimeshangaa hakuna uwiano wa habari kwenye vyombo vya habari,mechi inayopewa kipaombele ni ya Yanga vs Al Marekh na mechi ya Simba kupuuzwa.
Hata msafara unaongelewa wa Yanga na msafara wao wa makosta,waandishi wa habari wanaongelea Yanga tu na hata baadhi yao kusafiri na Yanga kama timu nzima ya clouds sport extra.
Kwanini vyombo vya habari vipo biased? Mechi ya Yanga ina nini hasa?
kwa sababu yanga ndo kwanza wanaanza kutoa matongotongo kimataifa, simba wapo kwenye game kimataifa kitambo sana wanachofanya ni kulinda consistence yaoNimeshangaa hakuna uwiano wa habari kwenye vyombo vya habari,mechi inayopewa kipaombele ni ya Yanga vs Al Marekh na mechi ya Simba kupuuzwa.
Hata msafara unaongelewa wa Yanga na msafara wao wa makosta,waandishi wa habari wanaongelea Yanga tu na hata baadhi yao kusafiri na Yanga kama timu nzima ya clouds sport extra.
Kwanini vyombo vya habari vipo biased? Mechi ya Yanga ina nini hasa?
Ahmed amechoka jana kawachana live mashabiki Tunduma,wao wapo karibu ila hata Hiace wameshindwa kukodi kwenda NdolaKICHWA CHA SHABIKI WA SIMBA AKA MAKOLO
GSM anawapa bahasha marefa
GSM anawapa bahasha TFF
GSM anawapa bahasha timu pinzani wacheze chini ya kiwango
GSM anawapa bahasha timu pinzani zinazocheza na simba
GSM anawapa bahasha mashabiki
GSM anawapa bahasha CAF
GSM anawapa bahasha waandishi wa habari
GSM anawapa bahasha wachezaji wa timu pinzani ili wawaumize wachezaji wa simba