Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,575
- 25,619
Mods wana-favourism,
Jamii forum kuna pendelea zaidi wanawake kuliko wanaume.
Au anayemiliki hii Jamii forum ni mwanamke?
Topic zinazoponda wanawake zinafutwa, lakini topic zinazoponda wanaume hazifutwi kwanini?
Kwa mfano hapa Jf kumezuka mabishano sana baina ya wanaume na wanawake.
Team Vibamia fc(viba[emoji817]) VS Team malapa Fc(ndala)[emoji160]
[emoji12] kwanini thread zinazohusu team Malapa fc(ndala) zinafutwa, lakini thread zinazohusu vi[emoji817] fc hazifutwi?
[emoji41] Jf kuna double standard
Nb: Jamii forum msije mkafuta uzi wangu
Jamii forum kuna pendelea zaidi wanawake kuliko wanaume.
Au anayemiliki hii Jamii forum ni mwanamke?
Topic zinazoponda wanawake zinafutwa, lakini topic zinazoponda wanaume hazifutwi kwanini?
Kwa mfano hapa Jf kumezuka mabishano sana baina ya wanaume na wanawake.
Team Vibamia fc(viba[emoji817]) VS Team malapa Fc(ndala)[emoji160]
[emoji12] kwanini thread zinazohusu team Malapa fc(ndala) zinafutwa, lakini thread zinazohusu vi[emoji817] fc hazifutwi?
[emoji41] Jf kuna double standard
Nb: Jamii forum msije mkafuta uzi wangu