Kwanini mada za kuponda wanawake zinafutwa, lakini mada za kuponda wanaume hazifutwi?

Kwanini mada za kuponda wanawake zinafutwa, lakini mada za kuponda wanaume hazifutwi?

Kitombise

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
8,575
Reaction score
25,619
Mods wana-favourism,

Jamii forum kuna pendelea zaidi wanawake kuliko wanaume.

Au anayemiliki hii Jamii forum ni mwanamke?

Topic zinazoponda wanawake zinafutwa, lakini topic zinazoponda wanaume hazifutwi kwanini?

Kwa mfano hapa Jf kumezuka mabishano sana baina ya wanaume na wanawake.

Team Vibamia fc(viba[emoji817]) VS Team malapa Fc(ndala)[emoji160]

[emoji12] kwanini thread zinazohusu team Malapa fc(ndala) zinafutwa, lakini thread zinazohusu vi[emoji817] fc hazifutwi?

[emoji41] Jf kuna double standard

Nb: Jamii forum msije mkafuta uzi wangu
 
Kwasabab hizo ndala mnazsababisha nyie kwa kuzinyonya utton na ukubwani. afu mnaleta dharau huku,kuwen na heshima kwa mama zenu.vibamia mmezaliwa navyo[emoji57] [emoji57]
Msonyo mwenyewe, tena huu mkubwa kabisa
1476531108752.jpg
[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mbona za Stunter hazifutwi au uwasilishaji wako ndio mbaya
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kwasabab hizo ndala mnazsababisha nyie kwa kuzinyonya utton na ukubwani. afu mnaleta dharau huku,kuwen na heshima kwa mama zenu.vibamia mmezaliwa navyo[emoji57] [emoji57]
Hahahaha mama umenifurahisha sana yani nimecheka kwa sauti
 
Wanawake tuna run Dunia ndugu....lazma tuheshimiwe....mnapiga zege mchana jua Kali then usiku unaleta hesabu kwangu
 
T

Mods wana-favourism,

Jamii forum kuna pendelea zaidi wanawake kuliko wanaume.

Au anayemiliki hii Jamii forum ni mwanamke?

Topic zinazoponda wanawake zinafutwa, lakini topic zinazoponda wanaume hazifutwi kwanini?

Kwa mfano hapa Jf kumezuka mabishano sana baina ya wanaume na wanawake.

Team Vibamia fc(viba[emoji817]) VS Team malapa Fc(ndala)[emoji160]

[emoji12] kwanini thread zinazohusu team Malapa fc(ndala) zinafutwa, lakini thread zinazohusu vi[emoji817] fc hazifutwi?

[emoji41] Jf kuna double standard

Nb: Jamii forum msije mkafuta uzi wangu
1476535481487.jpg
 
Mods wana-favourism,

Jamii forum kuna pendelea zaidi wanawake kuliko wanaume.

Au anayemiliki hii Jamii forum ni mwanamke?

Topic zinazoponda wanawake zinafutwa, lakini topic zinazoponda wanaume hazifutwi kwanini?

Kwa mfano hapa Jf kumezuka mabishano sana baina ya wanaume na wanawake.

Team Vibamia fc(viba[emoji817]) VS Team malapa Fc(ndala)[emoji160]

[emoji12] kwanini thread zinazohusu team Malapa fc(ndala) zinafutwa, lakini thread zinazohusu vi[emoji817] fc hazifutwi?

[emoji41] Jf kuna double standard

Nb: Jamii forum msije mkafuta uzi wangu
Moderators wengi ni madem
 
Back
Top Bottom