Kwanini madikteta wa Afrika, Asia na Ulaya Mashariki hawajafurahishwa na ushindi wa Donald Trump?

Kwanini madikteta wa Afrika, Asia na Ulaya Mashariki hawajafurahishwa na ushindi wa Donald Trump?

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Wakuu hali imekuwa tofauti kabisa na matarajio ya wengi. Madikteta kutoka nchi nyingi ikiwemo Tanzania hawajafurahishwa na ushindi wa D Trump.

Wakati wa utawala wa awamu ya kwanza uliomalizika 2021 Trump alikosolewa kwa kuwanyoosha viongozi madikteta ikiwemo serikali ya Magufuli kwa kunyimwa fedha za miradi za MCC, viongozi wake wahuni kama makonda wakilimwa ban ya kuingia States.

Huko Asia nako Irani walikipata kwa raia wake kutoruhusiwa kuingia Marekani na mbinyo wa Vikwazo kuimarishwa zaidi.

China kwa upande mwingine ilikipata Cha mtema Kuni kwa kampuni zake kuwekewa vikwazo vya kibiashara na Marekani wakati wa utawala wa Trump. Trump amerudi na hii haijawafurahisha wahafidhina wa kiafrika pamoja na makundi yote ya kigaidi.

Je, kurudi kwa Trump kunaweza kuleta adhari zipi kwa Afrika, Asia na Ulaya kwa viongozi wahuni?
 
Wakuu hali imekuwa tofauti kabisa na matarajio ya wengi. Madikteta kutoka nchi nyingi ikiwemo Tanzania hawajafurahishwa na ushindi wa D Trump. Wakati wa utawala wa awamu ya kwanza uliomalizika 2021 Trump alikosolewa kwa kuwanyoosha viongozi madikteta ikiwemo serikali ya Magufuli kwa kunyimwa fedha za miradi za MCC, viongozi wake wahuni kama makonda wakilimwa ban ya kuingia States. Huko Asia nako Irani walikipata kwa raia wake kutoruhusiwa kuingia Marekani na mbinyo wa Vikwazo kuimarishwa zaidi. China kwa upande mwingine ilikipata Cha mtema Kuni kwa kampuni zake kuwekewa vikwazo vya kibiashara na Marekani wakati wa utawala wa Trump. Trump amerudi na hii haijawafurahisha wahafidhina wa kiafrika pamoja na makundi yote ya kigaidi. Je kurudi kwa Trump kunaweza kuleta adhari zipi kwa Afrika, Asia na Ulaya kwa viongozi wahuni?
Trump hafagilii kabisa unafiki.
 
Wakuu hali imekuwa tofauti kabisa na matarajio ya wengi. Madikteta kutoka nchi nyingi ikiwemo Tanzania hawajafurahishwa na ushindi wa D Trump. Wakati wa utawala wa awamu ya kwanza uliomalizika 2021 Trump alikosolewa kwa kuwanyoosha viongozi madikteta ikiwemo serikali ya Magufuli kwa kunyimwa fedha za miradi za MCC, viongozi wake wahuni kama makonda wakilimwa ban ya kuingia States. Huko Asia nako Irani walikipata kwa raia wake kutoruhusiwa kuingia Marekani na mbinyo wa Vikwazo kuimarishwa zaidi. China kwa upande mwingine ilikipata Cha mtema Kuni kwa kampuni zake kuwekewa vikwazo vya kibiashara na Marekani wakati wa utawala wa Trump. Trump amerudi na hii haijawafurahisha wahafidhina wa kiafrika pamoja na makundi yote ya kigaidi. Je kurudi kwa Trump kunaweza kuleta adhari zipi kwa Afrika, Asia na Ulaya kwa viongozi wahuni?
Trum mwanaume anasimamia ubinaadamu. Yaani kulazimisha ushoga africa ilikuwa ajenda ya obama na biden
 
Yani Kama huyu Obama Ndio hovyo kabsa Yeye Ndio Alisaport Ushoga Africa vibaya Mno
Sasa msiwe mnawatukana Wazungu wote kuhusu ushoga, mkawasahau weusi wenzetu.

Trump ni sampuli ya watu walio smart sana kichwani, na wala hapendi kushikiwa akili. Ndiyo maana mabwanyenye hawampendi kabisa.
 
Wakuu hali imekuwa tofauti kabisa na matarajio ya wengi. Madikteta kutoka nchi nyingi ikiwemo Tanzania hawajafurahishwa na ushindi wa D Trump. Wakati wa utawala wa awamu ya kwanza uliomalizika 2021 Trump alikosolewa kwa kuwanyoosha viongozi madikteta ikiwemo serikali ya Magufuli kwa kunyimwa fedha za miradi za MCC, viongozi wake wahuni kama makonda wakilimwa ban ya kuingia States. Huko Asia nako Irani walikipata kwa raia wake kutoruhusiwa kuingia Marekani na mbinyo wa Vikwazo kuimarishwa zaidi. China kwa upande mwingine ilikipata Cha mtema Kuni kwa kampuni zake kuwekewa vikwazo vya kibiashara na Marekani wakati wa utawala wa Trump. Trump amerudi na hii haijawafurahisha wahafidhina wa kiafrika pamoja na makundi yote ya kigaidi. Je kurudi kwa Trump kunaweza kuleta adhari zipi kwa Afrika, Asia na Ulaya kwa viongozi wahuni?
Mwamba hacheki na kima hata siku moja.
 
Wakuu hali imekuwa tofauti kabisa na matarajio ya wengi. Madikteta kutoka nchi nyingi ikiwemo Tanzania hawajafurahishwa na ushindi wa D Trump. Wakati wa utawala wa awamu ya kwanza uliomalizika 2021 Trump alikosolewa kwa kuwanyoosha viongozi madikteta ikiwemo serikali ya Magufuli kwa kunyimwa fedha za miradi za MCC, viongozi wake wahuni kama makonda wakilimwa ban ya kuingia States. Huko Asia nako Irani walikipata kwa raia wake kutoruhusiwa kuingia Marekani na mbinyo wa Vikwazo kuimarishwa zaidi. China kwa upande mwingine ilikipata Cha mtema Kuni kwa kampuni zake kuwekewa vikwazo vya kibiashara na Marekani wakati wa utawala wa Trump. Trump amerudi na hii haijawafurahisha wahafidhina wa kiafrika pamoja na makundi yote ya kigaidi. Je kurudi kwa Trump kunaweza kuleta adhari zipi kwa Afrika, Asia na Ulaya kwa viongozi wahuni?
Rais Trump anasimamia ukweli na maadili. Watu wote wenye konakona na propaganda hawatampenda.
 
Rais Trump anasimamia ukweli na maadili. Watu wote wenye konakona na propaganda hawatampenda.
Anayetoa Dau ndiye anayechagua wimbo. Kama USA anakupa Ufadhili/Uwezeshaji lazima akutake mwisho wa siku utoe hesabu la Matumizi katika Utekelezaji kulingana na vigezo mlivyokubaliana. Tofauti na hapo (Konakona) lazima mtatibuana.
 
Sasa msiwe mnawatukana Wazungu wote kuhusu ushoga, mkawasahau weusi wenzetu.

Trump ni sampuli ya watu walio smart sana kichwani, na wala hapendi kushikiwa akili. Ndiyo maana mabwanyenye hawampendi kabisa.
Always Democratic wanapenda uhuru usiokua na mipaka; zamani niliwapenda Democratic kuliko Republicans, nilionaga kama Republicans ni makatiri sana, Reonald Reagan aliipiga Libya, Georg W. Bush Sr aliipiga Iraq ya Saddam Hussein while Democratic wao walipigana vita moja tu pale Yugoslavia kwa kutumia NATO, halafu akaja Bush Jr nae akaipiga Afghanistan, Iraq na kumuua Saddam Hussein, niliwachukia Republicans but baadae nimekuja kujiridhisha pasipo shaka, uhuru ukipitiliza zinakua FUJO. Georg Bush Jr alishinda mara ya pili kwasababu ya kuzuioa sheria ya utoaji mimba, ushoga as well, hadi kanisa Katolic duniani kupitia Papa wao alimpigia kampeni Bush Jr ambaye ni m protestants na kumkataa Al Gore ambae alikuaga mkatoliki mwenzao; why Papa alimkataa Al Goe? Is because alitaka mambo ya ushoga. Republicans wanaonekana wanapenda penda kidogo mambo ya Mungu.
 
Back
Top Bottom