Kwanini Maduka yaliyopo Mlimani City Mall hayafanyi kazi saa 24?

Kwanini Maduka yaliyopo Mlimani City Mall hayafanyi kazi saa 24?

Jiji kam la dar kama usafr tuu saa 6/9 usiku hamna unasua sua watafanyaje.mAsaa 24

Nazn waweke mazingr ya ufanyaji kaz kwa dar 24hrs ,
 
Mkuu TZ-1 umeongea point hatari. Tatizo wateja, Dar ni mahala chache sana zinakesha 24 hours.

Lakini kama haitoshi, ATM tu za pale Mlimani ikifika saa 6 usiku wanazuia magari kuingia. Wa ndani watoke wa nje hamna kuingia.
 
Mkuu TZ-1 umeongea point hatari. Tatizo wateja, Dar ni mahala chache sana zinakesha 24 hours.

Lakini kama haitoshi, ATM tu za pale Mlimani ikifika saa 6 usiku wanazuia magari kuingia. Wa ndani watoke wa nje hamna kuingia.
nitalifanyia kazi
 
Mkuu TZ-1 umeongea point hatari. Tatizo wateja, Dar ni mahala chache sana zinakesha 24 hours.

Lakini kama haitoshi, ATM tu za pale Mlimani ikifika saa 6 usiku wanazuia magari kuingia. Wa ndani watoke wa nje hamna kuingia.
Duh hatari sana
 
Back
Top Bottom