L Laiswa Member Joined Jun 28, 2018 Posts 61 Reaction score 94 Aug 20, 2024 #1 Wakuu naomba mnisadie kwa nini Mall kubwa kama Mlimani City haifanyi kazi saa 24?
TZ-1 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 4,321 Reaction score 7,501 Aug 20, 2024 #2 Jiji kam la dar kama usafr tuu saa 6/9 usiku hamna unasua sua watafanyaje.mAsaa 24 Nazn waweke mazingr ya ufanyaji kaz kwa dar 24hrs ,
Jiji kam la dar kama usafr tuu saa 6/9 usiku hamna unasua sua watafanyaje.mAsaa 24 Nazn waweke mazingr ya ufanyaji kaz kwa dar 24hrs ,
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Aug 20, 2024 #3 Mkuu TZ-1 umeongea point hatari. Tatizo wateja, Dar ni mahala chache sana zinakesha 24 hours. Lakini kama haitoshi, ATM tu za pale Mlimani ikifika saa 6 usiku wanazuia magari kuingia. Wa ndani watoke wa nje hamna kuingia.
Mkuu TZ-1 umeongea point hatari. Tatizo wateja, Dar ni mahala chache sana zinakesha 24 hours. Lakini kama haitoshi, ATM tu za pale Mlimani ikifika saa 6 usiku wanazuia magari kuingia. Wa ndani watoke wa nje hamna kuingia.
Friedrich Nietzsche JF-Expert Member Joined Sep 22, 2022 Posts 2,095 Reaction score 3,649 Jan 26, 2025 #4 Mad Max said: Mkuu TZ-1 umeongea point hatari. Tatizo wateja, Dar ni mahala chache sana zinakesha 24 hours. Lakini kama haitoshi, ATM tu za pale Mlimani ikifika saa 6 usiku wanazuia magari kuingia. Wa ndani watoke wa nje hamna kuingia. Click to expand... nitalifanyia kazi
Mad Max said: Mkuu TZ-1 umeongea point hatari. Tatizo wateja, Dar ni mahala chache sana zinakesha 24 hours. Lakini kama haitoshi, ATM tu za pale Mlimani ikifika saa 6 usiku wanazuia magari kuingia. Wa ndani watoke wa nje hamna kuingia. Click to expand... nitalifanyia kazi
L Laiswa Member Joined Jun 28, 2018 Posts 61 Reaction score 94 Jan 27, 2025 Thread starter #5 Mad Max said: Mkuu TZ-1 umeongea point hatari. Tatizo wateja, Dar ni mahala chache sana zinakesha 24 hours. Lakini kama haitoshi, ATM tu za pale Mlimani ikifika saa 6 usiku wanazuia magari kuingia. Wa ndani watoke wa nje hamna kuingia. Click to expand... Duh hatari sana
Mad Max said: Mkuu TZ-1 umeongea point hatari. Tatizo wateja, Dar ni mahala chache sana zinakesha 24 hours. Lakini kama haitoshi, ATM tu za pale Mlimani ikifika saa 6 usiku wanazuia magari kuingia. Wa ndani watoke wa nje hamna kuingia. Click to expand... Duh hatari sana