Kinacho endelea kuutesa mkoa wa kagera ni aina ya viongozi waliopo huko.Mkoa wa Kagera japo barabara nyingi ni vumbi lakini zinapitika bwana alafu mkoa unaweza barabara moja ya kuingia na kutoka tofauti na hapo ni barabara za kwenda vijijini
Kwa mfano mbunge wa Nkenge siku Magufulii amefariki alilia kama mtoto ndogo kisa alikuwa amemuahidi kumpatia cheo cha uwaziri.Mkoa wa Kagera japo barabara nyingi ni vumbi lakini zinapitika bwana alafu mkoa unaweza barabara moja ya kuingia na kutoka tofauti na hapo ni barabara za kwenda vijijini
Aisee wewe kweli ni mwana Karagwe maana naona vichochoro vyote unavyo kwenye kiganja.Haya hebu zungumza barabara ya Nyakanazi , karagwe kwenda kyerwa hadi boda ya murongo halafu achana na kile kipande cha mlima rwabununka halafu zungumzia Karagwe to Benako na NGARA lami inaishia nyakahanga hospital hapo Sijazungumzia Taxi za kwenda nyaishozi zinazobeba abiria 13 bado Sijazungumzia shida ya maji omurushaka( hawa wanafuata maji nyakagera na maji ya kugombea) na Nyakasana (hawa wanafuata maji katoke ambako wanakunywa na mifugo) hapo Sijazungumzia nkwenda licha ya kwamba kuna bwawa kubwa tu ila maji bado nishida sijaenda rubwera nako ni yale yale maji hakuna sijagusa nyakatuntu bado chakalema chakalulu hebu tulia bro acha kutetea
Maendeleo hayaletwi na mbungeKinacho endelea kuutesa mkoa wa kagera ni aina ya viongozi waliopo huko.
Wabunge wenyewe wote ni ndiyo mzee kila wakati.
Mbunge wa ndiyo ndiyo hawezi kuikemea serikali.
Pale ndiyo chimbuko la wana ccm na hawajui kama kuna chama kingine cha siasa.Nasikia jimbo la Kongwa ndiyo linaongoza Tz katika lindi za umaskini / ukosefu wa afya, maji safi na salama, malazi na elimu hafifu.
Inahusika vipi na hii tread?Wachuga wanapenda biashara za magendo na haramu - Kimei, 2021
Jamaa hana aibu hata kidogo lkn angalau 2020 wapiga kura walimkataa tena mbele ya boss wake .Kwa Lukuvi na hii Subwoofer unaweza lia!!!View attachment 2006741
Maliza shule kwanzaHabari zada huu
Naomba moja kwa moja niende kwenye mada maana nina ushahidi pia licha ya kwamba kama upo wanajamvi mnaweza kuuweka
Katika pita pita yangu humu jf nilikutana na reply moja na ukuu "maeneo mengi ambayo CCM inanguvu ni masikini sasa"
Moja kwa moja ikabidi nianze kuangalia maeneo ambayo nimeishi na kugundua ni ukweli kabisa
Haya ni baadhi ya maeneo ambayo nimeishi na kugundua hicho kitu
1)MOROGORO VIJIJINI
Hili ni moja ya jimbo ambalo CCM ina nguvu sana lakini ni moja ya na watu wa huku huwaambii kitu kuhusu ccm lakini cha ajabu mpaka leo huduma bado nishida
*Maji watu wa huku wanatumia maji ya mtoni maana maji yanayotoka kwenye mabomba ni ya chumvi kiasi kwamba ukupikia chai halafu ukiweka malengo sukari inakuwa kama ule mchanganyiko wa watu wanaohara. Miradi wa maji ya mto wami ulianzishwa tangu nipo shule ya msingi lakini hadi leo nipo chuo mwaka wa 4 huo miradi haujawahi kuisha tangu uhuru jimbo lipo chini ya CCM
*Umeme pamoja na SGR kupita na kuweka station Ngerengere lakini pia unakatika hovyo kama unakiuno vile
*Barabara huku pia barabara ni mbovu hasa sinazoelekea katika bwawa la kidunda huko barabara ni kiangazi tu ila Masika hakuna kitu
*Shamba la mifugo hili shamba la mifugo (LMU) zamani DAFCO hili shamba lilikuwa la wazungu lakini serikali ikalichukua pia lipo Ngerengere takribani Km 7 hadi stesheni mpya ya SGR cha ajabu halina msaada wowote kwa wafugaji wa kata za jirani na serikali kama wamesahau vile na hakuna mbunge aliyewahi kuizungumzia hata bungeni.
Baadhi wa wabunge waliowahi kupita hapa
=Semindu Pawa (RIP) huyu alikuwa anachukua chupa za maji waliyokunywa wabunge anawapelekea wananchi wawekeze maji wakienda shamba alichofanya hola baadae kutaka ubunge wananchi wakamkataa kabisaaaaaa
=Lucy Nkya nani amesahau mgomo wa madaktari enzi ya Kikwete huyu ndie alikuwa naibu waziri nae hola
=Babu Bate katika wabunge ambao hili jimbo wepigwa ni huyu sasa
2) MOROGORO MJINI
Hawa ndio hola kabisaaa yani kupewa gari la kwenda kuzika na mbunge wao ndio wanaona imetosha lakini na penyewe hamna kitu
*Maji huduma ya maji kwenye maeneo ya Tungi, lukobe, mkundi, Bigwa, Pangawe, bado tatizo licha ya uwepo wa bwawa la mindu hayo maeneo hawapati maji hata ya mgao na kwenyewe CCM imechachamaa
*Barabara maeneo yote yaliyokuwa chini ya upinzani 2015-2020 hawakujengewa barabara nasubiri kuona 2025 itakuwaje na pia barabara nyingi zipo chini ya kiwango mfano barabara ya kutoka mwembesongo Kwenda Nunge hata miaka 10 bado ila tayari haitamaniki
*Stendi katika vitu walibugia ni hapa kupeleka stendi nje ya mji ambako hakuna huduma ya muhimu ya kuifuata kule
*Viwanda mkoa una viwanda vingi ila cha ajabu vingi ni magofu jaribu kutembelea Kihonda viwandani ujionee mwenyewe
*Mkoa kama ule ambao wanataka liwe jiji hauna shopping mall wala super market hata moja (rejea master plan ya manispaa ya Morogoro) wanashindwa hata kutafuta muwekezaji hata mmoja
Mbunge wao ni Aziz Abood
3)CHALINZE
Hapa ndio kabisaaaa hola na nusu
*Maji huduma ya maji ni shida chalinze tangu CHALIWASA ihamishiwe DAWASA ndio kabisaaa maji ni ya chumvi ila bado hayapatikani
4)NGARA, MULEBA, BIHARAMULO, KYERWA , KARAGWE
Huki na kwenyewe ni uozo mtupu hasa hasa bara bara ukiacha Regional road inayounganisha Shinyanga na Kagera kupitia Muleba na Biharamulo na Geita na Kagera kupia Muleba lakini bado licha ya kwamba ni maeneo yanayozalisha sana ndizi na kahawa ila miundombinu ya barabara sio wezeshi
Maji nayo ni shida pia hasahasa kyerwa huko kote CCM mbele kwa mbele
Halafu naomba ulinganishe na majimbo yaliyokuwaga chini ya upinzani kwa wakati huo
NB: Sijazungumzia kipato cha mtu mmoja mmoja nimezungumza umasikini wa miundombinu n huduma nyinginezo
KAMA KUNA JIMBO LINGINE UNALIFAHAMU HEBU LITAJE
Habari zada huu
Naomba moja kwa moja niende kwenye mada maana nina ushahidi pia licha ya kwamba kama upo wanajamvi mnaweza kuuweka
Katika pita pita yangu humu jf nilikutana na reply moja na ukuu "maeneo mengi ambayo CCM inanguvu ni masikini sasa"
Moja kwa moja ikabidi nianze kuangalia maeneo ambayo nimeishi na kugundua ni ukweli kabisa
Haya ni baadhi ya maeneo ambayo nimeishi na kugundua hicho kitu
1)MOROGORO VIJIJINI
Hili ni moja ya jimbo ambalo CCM ina nguvu sana lakini ni moja ya na watu wa huku huwaambii kitu kuhusu ccm lakini cha ajabu mpaka leo huduma bado nishida
*Maji watu wa huku wanatumia maji ya mtoni maana maji yanayotoka kwenye mabomba ni ya chumvi kiasi kwamba ukupikia chai halafu ukiweka malengo sukari inakuwa kama ule mchanganyiko wa watu wanaohara. Miradi wa maji ya mto wami ulianzishwa tangu nipo shule ya msingi lakini hadi leo nipo chuo mwaka wa 4 huo miradi haujawahi kuisha tangu uhuru jimbo lipo chini ya CCM
*Umeme pamoja na SGR kupita na kuweka station Ngerengere lakini pia unakatika hovyo kama unakiuno vile
*Barabara huku pia barabara ni mbovu hasa sinazoelekea katika bwawa la kidunda huko barabara ni kiangazi tu ila Masika hakuna kitu
*Shamba la mifugo hili shamba la mifugo (LMU) zamani DAFCO hili shamba lilikuwa la wazungu lakini serikali ikalichukua pia lipo Ngerengere takribani Km 7 hadi stesheni mpya ya SGR cha ajabu halina msaada wowote kwa wafugaji wa kata za jirani na serikali kama wamesahau vile na hakuna mbunge aliyewahi kuizungumzia hata bungeni.
Baadhi wa wabunge waliowahi kupita hapa
=Semindu Pawa (RIP) huyu alikuwa anachukua chupa za maji waliyokunywa wabunge anawapelekea wananchi wawekeze maji wakienda shamba alichofanya hola baadae kutaka ubunge wananchi wakamkataa kabisaaaaaa
=Lucy Nkya nani amesahau mgomo wa madaktari enzi ya Kikwete huyu ndie alikuwa naibu waziri nae hola
=Babu Bate katika wabunge ambao hili jimbo wepigwa ni huyu sasa
2) MOROGORO MJINI
Hawa ndio hola kabisaaa yani kupewa gari la kwenda kuzika na mbunge wao ndio wanaona imetosha lakini na penyewe hamna kitu
*Maji huduma ya maji kwenye maeneo ya Tungi, lukobe, mkundi, Bigwa, Pangawe, bado tatizo licha ya uwepo wa bwawa la mindu hayo maeneo hawapati maji hata ya mgao na kwenyewe CCM imechachamaa
*Barabara maeneo yote yaliyokuwa chini ya upinzani 2015-2020 hawakujengewa barabara nasubiri kuona 2025 itakuwaje na pia barabara nyingi zipo chini ya kiwango mfano barabara ya kutoka mwembesongo Kwenda Nunge hata miaka 10 bado ila tayari haitamaniki
*Stendi katika vitu walibugia ni hapa kupeleka stendi nje ya mji ambako hakuna huduma ya muhimu ya kuifuata kule
*Viwanda mkoa una viwanda vingi ila cha ajabu vingi ni magofu jaribu kutembelea Kihonda viwandani ujionee mwenyewe
*Mkoa kama ule ambao wanataka liwe jiji hauna shopping mall wala super market hata moja (rejea master plan ya manispaa ya Morogoro) wanashindwa hata kutafuta muwekezaji hata mmoja
Mbunge wao ni Aziz Abood
3)CHALINZE
Hapa ndio kabisaaaa hola na nusu
*Maji huduma ya maji ni shida chalinze tangu CHALIWASA ihamishiwe DAWASA ndio kabisaaa maji ni ya chumvi ila bado hayapatikani
4)NGARA, MULEBA, BIHARAMULO, KYERWA , KARAGWE
Huki na kwenyewe ni uozo mtupu hasa hasa bara bara ukiacha Regional road inayounganisha Shinyanga na Kagera kupitia Muleba na Biharamulo na Geita na Kagera kupia Muleba lakini bado licha ya kwamba ni maeneo yanayozalisha sana ndizi na kahawa ila miundombinu ya barabara sio wezeshi
Maji nayo ni shida pia hasahasa kyerwa huko kote CCM mbele kwa mbele
Halafu naomba ulinganishe na majimbo yaliyokuwaga chini ya upinzani kwa wakati huo
NB: Sijazungumzia kipato cha mtu mmoja mmoja nimezungumza umasikini wa miundombinu n huduma nyinginezo
KAMA KUNA JIMBO LINGINE UNALIFAHAMU HEBU LITAJE
PumbafMaendeleo hayaletwi na mbunge
Umetisha kwa kuwa na hifadhi mzuri ya mapicha ya kutisha
Kutafuta tu ndio kumenipeleka kote hukoAisee wewe kweli ni mwana Karagwe maana naona vichochoro vyote unavyo kwenye kiganja.
Naona Karagwe ndiyo wilaya ina changamoto nyingi kidogo.
Sasa kama mbunge hasemi serikali itaota auMaendeleo hayaletwi na mbunge
Hongera sana kiongozi na wote tupo hivyo kutafuta ndiyo kipaumbele.
Ubarikiwe sana mkuu kwa kumpatia jibu huyo
Umetisha kwa kuwa na hifadhi mzuri ya mapicha ya kutisha
Serikali Ina idara zote kila wilaya na maafisa usalama wanaokusanya taarifa za kila kitu,serikali inajua nini kinatakiwa wapi,mbunge hata abweke vipi,Kama serikali Haina mpango na anachobweka atabaki kuwa mpiga kelele tu
Kwanza upo wapi ili nikupe detail za mahala ulipo ujionee ulivyo zwazwaSerikali Ina idara zote kila wilaya na maafisa usalama wanaokusanya taarifa za kila kitu,serikali inajua nini kinatakiwa wapi,mbunge hata abweke vipi,Kama serikali Haina mpango na anachobweka atabaki kuwa mpiga kelele tu
Nipo nachingweaKwanza upo wapi ili nikupe detail za mahala ulipo ujionee ulivyo zwazwa
Ukilinganisha na wapi???Unataka nikuambie na NGARA n Muleba au