Hapo mkuu bado Sijazungumzia wakulima wa kahawa kutapeliwa hela na kile chama chao cha ushirika pale kayangaAisee wewe kweli ni mwana Karagwe maana naona vichochoro vyote unavyo kwenye kiganja.
Naona Karagwe ndiyo wilaya ina changamoto nyingi kidogo.
Wabunge wa Tanzania wengi wako hivo wanajipendekeza kwa staili anayokuja nayo kiongozi wa wakati huoKwa mfano mbunge wa Nkenge siku Magufulii amefariki alilia kama mtoto ndogo kisa alikuwa amemuahidi kumpatia cheo cha uwaziri.
Unategemea mbunge kama huyo ataikemea serikali?
Hilo tisa njoo kwa Bashungwa sasa baada ya wana Karagwe kumkataa Blandes (mjumbe wa bosi ya chuo kikuu ardhi) Jiwe mwaka 2015 akiwa uwanja wa kayanga alipopiga push up aliwaahidi wakimchagua Bashungwa atampa wizara baadae akawa naibu waziri wa viwanda na biashara kama sijakosea baadae akampa uwaziri sanaa na michezoKwa mfano mbunge wa Nkenge siku Magufulii amefariki alilia kama mtoto ndogo kisa alikuwa amemuahidi kumpatia cheo cha uwaziri.
Unategemea mbunge kama huyo ataikemea serikali?
Umeonaeee?Hilo tisa njoo kwa Bashungwa sasa baada ya wana Karagwe kumkataa Blandes (mjumbe wa bosi ya chuo kikuu ardhi) Jiwe mwaka 2015 akiwa uwanja wa kayanga alipopiga push up aliwaahidi wakimchagua Bashungwa atampa wizara baadae akawa naibu waziri wa viwanda na biashara kama sijakosea baadae akampa uwaziri sanaa na michezo
Maendeleo kwao ni miujiza ndiyo maana wanasema tunamshukuru rais kwa kutupatia fedhaNdio Sehemu ccm inakotawala na kupita bila kupingwa
Wabunge woote wa ccm wamefungwa kidhibiti mwendoSerikali Ina idara zote kila wilaya na maafisa usalama wanaokusanya taarifa za kila kitu,serikali inajua nini kinatakiwa wapi,mbunge hata abweke vipi,Kama serikali Haina mpango na anachobweka atabaki kuwa mpiga kelele tu
Aisee kumbe askofu Bagonza ni wa karagwe?Hapo mkuu bado Sijazungumzia wakulima wa kahawa kutapeliwa hela na kile chama chao cha ushirika pale kayanga
Sijagusa kuhusu migomba kufa kwa ugonjwa wa mnyauko lakini hata hawajapiga kelele wataalamu waende kwa ajili ya utafiti
Sijasema ule mgodi wa Tin kule kyerwa mgodi ambao haujanufaisha wananchi
Bado sijasema kwamba lile bwawa la nkwenda wameshindwa kufuga hata samaki
Nimekaa kimya kuhusu hifadhi ya rumanyika na ya kule murongo
Kusema.ukweli.ile.karagwe kama sio Bagonza na KKKT yake isingetofautiana na kigoma
Kwa bunge hili tulilo nalo la chama kimoja tusitegemee kuwa na bunge lenye uwezo wa kuikemea serikali hata siku moja.Wabunge wa Tanzania wengi wako hivo wanajipendekeza kwa staili anayokuja nayo kiongozi wa wakati huo
Umempatia haki yake na ushamba wake.Kumbe upo sehemu ambayo bei ya chumvi na wanawake wanaojiuza ipo chini kuliko mahitaji muhimu ya binadamu hebu kaa kwa kutulia bro
Bei ya unga kilo huko unapata malaya na unapiga bao 3 saaafi kabisa
Basi Mungu azidi kumuongezea nguvu azidi kuwasaidia wana karagwe a.k.a Wanyambo.Ndio na amewekeza sana kule na KKKT yake
Inahusiana nini na mada!!?Kumbe upo sehemu ambayo bei ya chumvi na wanawake wanaojiuza ipo chini kuliko mahitaji muhimu ya binadamu hebu kaa kwa kutulia bro
Bei ya unga kilo huko unapata malaya na unapiga bao 3 saaafi kabisa
Kwa Tanzania mbunge Hana kazi,zaidi ni kupitisha Mambo ya serikaliWabunge woote wa ccm wamefungwa kidhibiti mwendo