Underthesea
JF-Expert Member
- Jul 8, 2021
- 327
- 882
Ni kweli ni vya Kishamba sanaHivyo vyoo vya kukaa sijui watu wanavipendea nini!?
Niliwahi enda sehemu ndo kipo choo hicho tu ikabid nipande juu, wacha nishuke nacho bahati hakikuniumiza ila vyoo vya kukaa ni ushamba labda ni msaada kwa wenzetu walemAvu.
Aisee bro 🤣Hivyo vyoo vya kukaa sijui watu wanavipendea nini!?
Niliwahi enda sehemu ndo kipo choo hicho tu ikabid nipande juu, wacha nishuke nacho bahati hakikuniumiza ila vyoo vya kukaa ni ushamba labda ni msaada kwa wenzetu walemAvu.
Wewee, watu tunaenda na simu chooni hatutoki Hadi nusu saa 😂Acha story mingi, ingia chooni kata gogo sepa zako au OSHA zako pumbuh hizo fasta sepa chap.
Wewee, watu tunaenda na simu chooni hatutoki Hadi nusu saa 😂
Wengine wanaweka majarida kabisa..
View attachment 2085186
Chooni sio jalalani jamani, ndomana wengine wanapaita restroom.
Tatizo vyoo vyetu wengi kama magari yetu ya kubebea takataka, na yenyewe ni takataka!
Basi shida inaanzia Kwa mchora ramaniHujakutana na fundi anakuekea tp holder chini ya shower.
Naona mafundi wengi hufanya hivyo sababu ya urahis wa kutoa taka kupeleka kwenye chamber choo kikiwa mwishoni. Japo sina uhakika nimehisi tu
Mimi napenda bafu zuri jamani. Bahati nzuri sina roho ya tamaa maana kila siku unakutana na style nzuri za kuvutia zaid unajikuta mwaka mzima unafanya renovation bafuniBudget yako tu mkuu.
Unaweza kuweka hata kochi
View attachment 2085221
View attachment 2085222
View attachment 2085224
View attachment 2085228
NA kukataka gogo kunatakiwa kuwe dakika mbili tuu...ikiwa zaidi ya hapo basi lishe mbovu....Acha story mingi, ingia chooni kata gogo sepa zako au OSHA zako pumbuh hizo fasta sepa chap.
Hakuna kitu sipendi kama huvi vyoo,, nilienda sehem kuna choo cha kukaa tu nilipata shida sana maana siwez kukaa hapo mimiNafikiri watu wengi huchanganya choo na bafu kwasababu ya bajeti.
View attachment 2085011
Lakini huyu kweli alikuwa na shida ya budget?
View attachment 2085012
Ni mafundi mmekremisha? Ukosefu wa ubunifu? Au wenye nyumba wenyewe wanapenda hivi? Me nimecheka Kweli, nafikiri ni fundi maiko kafanya yake.
Hakuna kitu nachukia kama chooni kuwa na majimaji, panapaswa kuwa pakavu! Choo kikubwa kama hicho bafu liwe mwisho/pembeni na shower screen, au hata ukuta tu!
View attachment 2085014
(Hili bafu [emoji115]nalo limenichekesha the use of space, lakini angalau bafu liko mwisho huko)
View attachment 2085018
View attachment 2085020
View attachment 2085021
Usirudie tena kupanda, utakuja kuchanwa vibaya sana. Point to note, hakikisha nyumbani kwako chumba kimoja kinakuwa na choo cha kukaa, ipo siku utakihitaji.Hivyo vyoo vya kukaa sijui watu wanavipendea nini!?
Niliwahi enda sehemu ndo kipo choo hicho tu ikabid nipande juu, wacha nishuke nacho bahati hakikuniumiza.
Ila vyoo vya kukaa ni ushamba labda ni msaada kwa wenzetu walemAvu.
Faida zake ni nini?? Yaani dah, huwa nikiangalia na nikiwaza tu ile sehemu naishiwaga pozi sidhan Kama nitasubutu kujenga labda itokee kuna muhitaji ndani.Usirudie tena kupanda, utakuja kuchanwa vibaya sana. Point to note, hakikisha nyumbani kwako chumba kimoja kinakuwa na choo cha kukaa, ipo siku utakihitaji.
Watu hamjawahi kusafiri kumbe!Hakuna kitu sipendi kama huvi vyoo,, nilienda sehem kuna choo cha kukaa tu nilipata shida sana maana siwez kukaa hapo mimi