upo sawa mkuu hata mie sipendi kweli , unakuta eti wwngine wanatumia kw famila nzima mmh.Hivyo vyoo vya kukaa sijui watu wanavipendea nini!?
Niliwahi enda sehemu ndo kipo choo hicho tu ikabid nipande juu, wacha nishuke nacho bahati hakikuniumiza.
Ila vyoo vya kukaa ni ushamba labda ni msaada kwa wenzetu walemAvu.
Hakuna kitu sipendi kama huvi vyoo,, nilienda sehem kuna choo cha kukaa tu nilipata shida sana maana siwez kukaa hapo mimi
Ni vizuri kwa wagonjwa na wazee.Hivyo vyoo vya kukaa sijui watu wanavipendea nini!?
Niliwahi enda sehemu ndo kipo choo hicho tu ikabid nipande juu, wacha nishuke nacho bahati hakikuniumiza.
Ila vyoo vya kukaa ni ushamba labda ni msaada kwa wenzetu walemAvu.
Endelea kutembea na mabaki ya mavi katikati ya makalio hapo.Na utu uzima huu nachuchumaa vipi? Hebu acheni utani nyinyi watoto. Kunya ni starehe sio adhabu wacha tukae huku tunasoma gazeti.
Hata mimi nikiwa mdogo kijijijini sikuwahi kukipenda hicho choo.Na utu uzima huu nachuchumaa vipi? Hebu acheni utani nyinyi watoto. Kunya ni starehe sio adhabu wacha tukae huku tunasoma gazeti.
Kina sababisha bawasiri (haemorrhoids )Hakuna kitu nachukia kama choo cha kukalia😑😑😑
Aisee bro [emoji1787]
Mimi kuchuchumaa hapana [emoji2210]
Adhabu!!?
Mradi nishajua position nzuri ya ku poo ni magoti yawe juu ya hips, nakanyaga ndoo siku hizi.
Na utu uzima huu nachuchumaa vipi? Hebu acheni utani nyinyi watoto. Kunya ni starehe sio adhabu wacha tukae huku tunasoma gazeti.
Aisee bro [emoji1787]
Mimi kuchuchumaa hapana [emoji2210]
Adhabu!!?
Mradi nishajua position nzuri ya ku poo ni magoti yawe juu ya hips, nakanyaga ndoo siku hizi.
Vyoo vizuri ni Indian toiletHivyo vyoo vya kukaa sijui watu wanavipendea nini!?
Niliwahi enda sehemu ndo kipo choo hicho tu ikabid nipande juu, wacha nishuke nacho bahati hakikuniumiza.
Ila vyoo vya kukaa ni ushamba labda ni msaada kwa wenzetu walemAvu.