Kwanini?hatutaendelea mkuu
Wazo la kimaskini sana hili mkuu, lifute kbsa kweny akili yako.Kwa nini magari yasitumie maji kabisa?
Mfumo wa Dunia unaendeshwa kiajabu sana.
Kwa nini vitu vingi visitengenezwe kua am kutumia vitu vinavyopatikana kwa urahisi kama, mfano magari yatumie maji.
Waarabu walivyowekeza kwenye visima vyao halafu yeye aje na hoja hii lazima wamuue.Kwanza kasome namba injini inavofanya kazi. Ukimaliza maji utataka magari ya kutumia hewa. Halafu unataka waarabu wakale wapi mkuu.
Maji sio nishati.. Ili maji yawe nishati inabidi yapashwe moto kama ilivyokuwa kwenye steam engines.Kwa nini magari yasitumie maji kabisa?
Mfumo wa Dunia unaendeshwa kiajabu sana.
Kwa nini vitu vingi visitengenezwe kua am kutumia vitu vinavyopatikana kwa urahisi kama, mfano magari yatumie maji.
Magari madogo ya Diesel yapo siku hizi.. Leyland wemetoa virikuu vinatumia Diesel.. Kupata engine ndogo ya Diesel, lazima gari iwe na turbo.. Lasivyo gari itakuwa na nguvu kidogo sana.Kwa watalaam wa magari.. inakuaje magari madogo yasitumie dizeli?
Huwa najiuliza hiki kitu sipati jibu.
Naomba majibu ya kitaalam.
Watamtumua jini mahaba limnyonye damu kunako.Waarabu walivyowekeza kwenye visima vyao halafu yeye aje na hoja hii lazima wamuue.
Hakuna Kitu kinachopatikana kwa urahisi kikawa na thamani.Kwa nini magari yasitumie maji kabisa?
Mfumo wa Dunia unaendeshwa kiajabu sana.
Kwa nini vitu vingi visitengenezwe kua am kutumia vitu vinavyopatikana kwa urahisi kama, mfano magari yatumie maji.
Ukikosa mafuta huwezi kufa, ukikosa maji unakufa.Hakuna Kitu kinachopatikana kwa urahisi kikawa na thamani.
Ndoo moja ya maji ya Lita 20 huku kwetu inazwa 200 ila Lita moja ya mafuta inauzwa 1800 .
Hata sijaelewa hoja yako.Wazo la kimaskini sana hili mkuu, lifute kbsa kweny akili yako....
Kuna maeneo mpka leo hii maji ya matumizi kawaida ni ttzo kubwa. Je maji yangekuwa ni nishati ya kuendeshea vyombo vya moto ingekuwaje?...
Hiyo injini unayosema umetengenezwa itumie nini?Kwanza kasome namna injini inavofanya kazi. Ukimaliza maji utataka magari ya kutumia hewa. Halafu unataka waarabu wakale wapi mkuu.
Kwani coolant si ni maji pia na yanatumika kwenye kila gariKwa nini magari yasitumie maji kabisa?
Mfumo wa Dunia unaendeshwa kiajabu sana.
Kwa nini vitu vingi visitengenezwe kua am kutumia vitu vinavyopatikana kwa urahisi kama, mfano magari yatumie maji.
Maji hayatoi nishati ya kuendeshea injini. Ukimwaga maji kwenye moto unazima, ukimwaga mafuta mepesi kwenye moto unauchochea kuwaka. Mafuta kwenye injini yanatengeneza combustion ambayo maji hayawezi toa.Kwa nini magari yasitumie maji kabisa?
Mfumo wa Dunia unaendeshwa kiajabu sana.
Kwa nini vitu vingi visitengenezwe kua am kutumia vitu vinavyopatikana kwa urahisi kama, mfano magari yatumie maji.
Kuna mjumbe mmoja alinidanganya ni kwasababu diesel ni nzito kuliko petrol hivyo hata kwenye uchomwaji wake inatoa power kubwa ambayo inafanya engine iwe na mtikisiko mkubwa.Kwa watalaam wa magari. Inakuaje magari madogo yasitumie dizeli?
Huwa najiuliza hiki kitu sipati jibu...