Mkuu unamaanisha rangi za vyakula zingine husalia ktk figo na ini?Mtu anakunywa energy nne kwa siku unategemea nini?
unakunywa kinywaji cha rangirangi unaenda kukojoa mkojo wa njano, hujiulizi zile rangirangi zimeenda wap?
Kwanini magonjwa ya figo yasiwe mengi.
Were they electrified?Ruge,kibonde
Acha uongo jamaa..uli wapima..?na pia takwimu nyingi zinaonyesha magonjwa yasiyo yakuambukiza ndio yanaongoza kwa vifo..magonjwa nyemelezi ambayo ni ya kuambukiza ndio yanayo wapereka wenye ngoma..rudi shule boya wewe.Wengi issue ni NGOMA, figo ni geresha tu. Mara nyingi ni ngoma ndiyo huwaua, ukiwa na ngoma ni rahisi mno magonjwa kama ya figo, ini, moyo, BP, cancer aina zote ikiwemo ya koo, kisukari n.k, kukupata na kukuondosha kabisa duniani.
Issue ni kuwa wengi wa hao vijana wanauawa na UKIMWI ambao kwa kiasi kikubwa huwasababishia hayo magonjwa uliyotaja.
Tuache ngono zembe, AIDS is real!!!
Mafuta ya kula yanayotokana na mbegu ni hatari??..hebu ni eleweshe vyema hapa?Pombe na sigara kupitiliza ,,pia kuna hizi sumu tunakula kila siku kama sukari especially ya kwenye bidhaa za viwandani kama juice, soda,pipi nk. Mafuta ya kupikia yanayotokana na mbegu ni hatari sana lakini ukijumkisha na madawa yanayopigwa kwenye mazao,mboga basi ni kama tunakula sumu inayotuua taratibu [emoji27][emoji27] .
Umenena vyema!Mtu anakunywa energy nne kwa siku unategemea nini?
unakunywa kinywaji cha rangirangi unaenda kukojoa mkojo wa njano, hujiulizi zile rangirangi zimeenda wap?
Kwanini magonjwa ya figo yasiwe mengi.
Mkuu taratibu basiAcha uongo jamaa..uli wapima..?na pia takwimu nyingi zinaonyesha magonjwa yasiyo yakuambukiza ndio yanaongoza kwa vifo..magonjwa nyemelezi ambayo ni ya kuambukiza ndio yanayo wapereka wenye ngoma..rudi shule boya wewe.
#MaendeleoHayanaChama
Mafuta ya kula yanayotokana na mbegu ni hatari??..hebu ni eleweshe vyema hapa?
#MaendeleoHayanaChama
Kisukari ni ishu kubwa sana tena hiki kinacho sababishwa na modern diet and lifestyle.Fanya tafiti vizuri...vijana wengi wanaondoka na kisukari..kisukari kinaathiri moyo etc...vifo vingi vya gafla tatizo Ni Hilo kubwa..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Pombe za kienyeji hazina makemical .ila huku kwenye konyaji,k vant ni matatizo matupuZamani ilionekana UKIMWI ni tishio kwa Dunia nzima, kwa dhana kwamba ni lazima mtu atakufa tu.
Siku hizi magonjwa ya ini, mapafu kujaa maji, Figo kushindwa kazi yake yamekuwa tishio sana na yanaondoa uhai wa watu wengi sana hasa vijana.
Sijui sababu kubwa ni matumizi ya pombe au sigara bila kula vizuri, kunywa maji mengi n.k?
Lakini mbona wazee wetu wanakunywa pombe miaka nenda rudi lakini hawasumbuliwi na magonjwa haya kama vijana wa leo?
Madaktari wameshindwa kabisa kuthibiti vifo vya magonjwa haya kiasi kwamba mtu akishaumwa tu haya magonjwa anahesabu kifo wakati wowote.
Kwanini yameshindikana?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app