Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,659
Habari kwenu wanabodi, naleta swali hili kwenu,
Je, ni kifungu gani cha sheria kinacho regulate utoaji wa maiti kutoka vyumba vya kuhifadhia maiti maarufu kama mochwari (mortuary)? Maana katika nchi yetu hairuhusiwi kutoa maiti baada ya saa 12 jioni. Sasa nikaona nililete swali hili huku kwa kuwa ni swalili intelligent!
Majibu yenu itapendeza zaidi nikipewa sheria na kifungu kinacho regulate utaratibu huo. Lengo ni kuelimishana ili kupata uhalisia na kuacha kufanya kazi au kuishii kwa mazoea.
Asanteni.
Je, ni kifungu gani cha sheria kinacho regulate utoaji wa maiti kutoka vyumba vya kuhifadhia maiti maarufu kama mochwari (mortuary)? Maana katika nchi yetu hairuhusiwi kutoa maiti baada ya saa 12 jioni. Sasa nikaona nililete swali hili huku kwa kuwa ni swalili intelligent!
Majibu yenu itapendeza zaidi nikipewa sheria na kifungu kinacho regulate utaratibu huo. Lengo ni kuelimishana ili kupata uhalisia na kuacha kufanya kazi au kuishii kwa mazoea.
Asanteni.