The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Waungwana Tanzania tunapigwa kizembe sana . Hasa hii serikali ya BITOZO wahuni wanafanya lolote wanalotaka.
Inakuwaje ajali za moto zitokee kuamkia Jumapili tu ni coincidence ya namna gani hii..
Aisee kuna watu wanapiga sana hela kupitia haya majanga ya moto halafu hawana wa kuwawajibisha wala kuwafanya lolote.
Leo moto wa Tanga wameangalia watu tutakuwa tumeconcetrate na game ya Simba na Yanga wakafanya yao wakijua Kelele hamna.
Aisee nchi ngumu sana, hii huko Ghalani watu watakuwa wamefanya madudu hatari.
RIP JPM.
Inakuwaje ajali za moto zitokee kuamkia Jumapili tu ni coincidence ya namna gani hii..
Aisee kuna watu wanapiga sana hela kupitia haya majanga ya moto halafu hawana wa kuwawajibisha wala kuwafanya lolote.
Leo moto wa Tanga wameangalia watu tutakuwa tumeconcetrate na game ya Simba na Yanga wakafanya yao wakijua Kelele hamna.
Aisee nchi ngumu sana, hii huko Ghalani watu watakuwa wamefanya madudu hatari.
RIP JPM.