Kwanini Makaburu hawapendi Amapiano?

Kwanini Makaburu hawapendi Amapiano?

Kakumamoto

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2015
Posts
1,237
Reaction score
1,696
Habari,

Kwa wale wenzetu waliowenyeji na South Africa naomba mnisaidie hili. Nimekutana na Makaburu wawili nyakati tofauti na wote niliwauliza kuhusu huu mziki, wote hakuonyesha kuujali kabisa. Mmoja aliniambia haujui kabisa, nilishangaa!

Iweje mziki maarufu kama huu mwenyeji wa South asiujue? Kwanini Makaburu hawaupendi mziki wa Amapiano?
 
Habari,

Kwa wale wenzetu waliowenyeji na South Africa naomba mnisaidie hili. Nimekutana na Makaburu wawili nyakati tofauti na wote niliwauliza kuhusu huu mziki, wote hakuonyesha kuujali kabisa. Mmoja aliniambia haujui kabisa, nilishangaa!

Iweje mziki maarufu kama huu mwenyeji wa South asiujue? Kwanini Makaburu hawaupendi mziki wa Amapiano?
Ndio walivyokuambia?
 
Habari,

Kwa wale wenzetu waliowenyeji na South Africa naomba mnisaidie hili. Nimekutana na Makaburu wawili nyakati tofauti na wote niliwauliza kuhusu huu mziki, wote hakuonyesha kuujali kabisa. Mmoja aliniambia haujui kabisa, nilishangaa!

Iweje mziki maarufu kama huu mwenyeji wa South asiujue? Kwanini Makaburu hawaupendi mziki wa Amapiano?
Ni muzuki wa kipumbavu,unatungwa mtu akiwa amelewa konyagi.Ulimbukeni tu wa watanzania kushobokea vitu vya kijinga.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Loooooo mkuu sasa makaburu wawili ndio umetumia kama sample ya kuhalalisha utafiti wako!hivi tunakwama wapi middle class ninyi?,dunia ipo mkononi tafuta zaidi Habari mkuu, angalia tik tok kuna clips nyingi za makaburu wakiyanyuka amapiano au tembekea SA ujionee, ni bus moja tu from Dar to egoli, ukifika nenda Alex township, few meters from Sandton suburb uone buras wanavyokatika
 
Kwahyo makaburu ndo wako wawili tu,ungeuliza nchi nzima
 
Habari,

Kwa wale wenzetu waliowenyeji na South Africa naomba mnisaidie hili. Nimekutana na Makaburu wawili nyakati tofauti na wote niliwauliza kuhusu huu mziki, wote hakuonyesha kuujali kabisa. Mmoja aliniambia haujui kabisa, nilishangaa!

Iweje mziki maarufu kama huu mwenyeji wa South asiujue? Kwanini Makaburu hawaupendi mziki wa Amapiano?
Umaenda mbali, hata hapa bongo Wahindi wanaishi kariakoo hata kama ni maskini, ni wachache saana wameaanza kwenda kuishi kaeneo kama ya kimara
Wengi wahindi wanabanana kariakoo..utakuta muhindi hata Mwenge au sinza hajawahi fika

Kiswahili unakuta hawajui vizuri pamoja na babu zao kuzaliwa hapa bongo..utadhani ko wakuja ila wamezaliwa bongo
 
Back
Top Bottom