Kwanini Makada wa CHADEMA waliopo humu JF hawakwenda Mbeya? Je ni waoga.

Kwanini Makada wa CHADEMA waliopo humu JF hawakwenda Mbeya? Je ni waoga.

Akilii mtu wanguuu🏃🏃🏃...vizurungu vya police CCM vinaumaaa asikwambie mtu mkuu...
 
Mimi na watanzania wenzangu tutawasaidia hawa vijana wa mitandaoni kuwatoa ujinga
GU5ZHOjXUAAnLaZ.jpeg
 
Wenzao wamechakazwa kwa kipigo.

Lakini wao wamo humu ndani JF wakitiririka kwa comment za kihuni.

Makada wa CHADEMA acheni uoga basi.
Hawana uwezo wakuingia front ni kelele za JF tu. Sugu amepata kipigo cha mbwa koko!! Katibu Mkuu wao alipata cha moto mpaka akapiga kelele kama mwanamke! "WANANIUA" Chezea Polisi wewe!! 🤣🤣
 
Back
Top Bottom