mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 566
Sikusema na vutiwa na makalio "makubwa" nimesema navutiwa na makalio. Mwanamme nae awe na ka shepu hivi sio makuuubwa, au awe "pasi" haa pa kutia kucha hakuna, wanini?
Mh hapana aisee yale yakizidi kuwa makubwa kifanyio kinapungua ukubwa,so kwa mwanaume haifai yawe makubwaLaiti ungalijuwa kuwa na wanawake wengi huvutiwa na makalio ya wanaume, ungeanza kutafuta "mchina". Binafsi huvutiwa sana na huyatamani makalio ya wanaume.
astaghafirullah...!
FF utie kucha wapi? mmmhh
Mh hapana aisee yale yakizidi kuwa makubwa kifanyio kinapungua ukubwa,so kwa mwanaume haifai yawe makubwa
Nani alikwambia ukubwa una "matter", nakuomba chukuwa asali kwenye kidole halafu kishindilie kooni? halafu chukuwa tena ukinyonye kidole mdomoni? jibu utalopata utajaza mwenyewe.
FF,Nani alikwambia ukubwa una "matter", nakuomba chukuwa asali kwenye kidole halafu kishindilie kooni? halafu chukuwa tena ukinyonye kidole mdomoni? jibu utalopata utajaza mwenyewe.
FF,
Njoo umcheze binti yangu January mwakani anaolewa, waonekana kungwi mzuri!
nani alikwambia ukubwa una "matter", nakuomba chukuwa asali kwenye kidole halafu kishindilie kooni? Halafu chukuwa tena ukinyonye kidole mdomoni? Jibu utalopata utajaza mwenyewe.
Kwasababu yanatumika kukaa kwa muda mrefu na bado hayawi flat.
haaa.....!! Kweli watu wamepinda aiseee! Lol
Nani alikwambia ukubwa una "matter", nakuomba chukuwa asali kwenye kidole halafu kishindilie kooni? halafu chukuwa tena ukinyonye kidole mdomoni? jibu utalopata utajaza mwenyewe.
Laiti ungalijuwa kuwa na wanawake wengi huvutiwa na makalio ya wanaume, ungeanza kutafuta "mchina". Binafsi huvutiwa sana na huyatamani makalio ya wanaume.
kifanyio ndo nini?Mh hapana aisee yale yakizidi kuwa makubwa kifanyio kinapungua ukubwa,so kwa mwanaume haifai yawe makubwa