Kwanini makalio yao wanawake ndio kivutio zaid?

Sikusema na vutiwa na makalio "makubwa" nimesema navutiwa na makalio. Mwanamme nae awe na ka shepu hivi sio makuuubwa, au awe "pasi" haa pa kutia kucha hakuna, wanini?

FF utie kucha wapi? mmmhh
 
Laiti ungalijuwa kuwa na wanawake wengi huvutiwa na makalio ya wanaume, ungeanza kutafuta "mchina". Binafsi huvutiwa sana na huyatamani makalio ya wanaume.
Mh hapana aisee yale yakizidi kuwa makubwa kifanyio kinapungua ukubwa,so kwa mwanaume haifai yawe makubwa
 
 
Last edited by a moderator:
FF utie kucha wapi? mmmhh

Jama nyie mnafikiri zile kucha tunazofuga basi kwa ajili ya kupaka rangi tu? khaaaa! unanchekesha, zile za kukunia na hakuna raha kukuna kama makalio na mgongo. Hivi wewe hujawahi kumwambia darling wako "darling nawashwa mgongoni, hebu nikune kidogo"? Basi ujuwe, watu wazima tukiambiwa hivyo hatuishii mgongoni pekee.
 
Mh hapana aisee yale yakizidi kuwa makubwa kifanyio kinapungua ukubwa,so kwa mwanaume haifai yawe makubwa

Nani alikwambia ukubwa una "matter", nakuomba chukuwa asali kwenye kidole halafu kishindilie kooni? halafu chukuwa tena ukinyonye kidole mdomoni? jibu utalopata utajaza mwenyewe.
 
Nani alikwambia ukubwa una "matter", nakuomba chukuwa asali kwenye kidole halafu kishindilie kooni? halafu chukuwa tena ukinyonye kidole mdomoni? jibu utalopata utajaza mwenyewe.

Dah, bonge la meseji!
 
Nani alikwambia ukubwa una "matter", nakuomba chukuwa asali kwenye kidole halafu kishindilie kooni? halafu chukuwa tena ukinyonye kidole mdomoni? jibu utalopata utajaza mwenyewe.
FF,
Njoo umcheze binti yangu January mwakani anaolewa, waonekana kungwi mzuri!
 
nani alikwambia ukubwa una "matter", nakuomba chukuwa asali kwenye kidole halafu kishindilie kooni? Halafu chukuwa tena ukinyonye kidole mdomoni? Jibu utalopata utajaza mwenyewe.


hapo nina swali,hivi kipi kitakachopata utamu wa asali hapo,ni kidole ama ulimi na mdomo kiujumla?
 
Kwasababu yanatumika kukaa kwa muda mrefu na bado hayawi flat.
 
ebwana ile kitu wakati wa style ya mbuzi kagoma kwenda ndio utaona utamu wake kama lipo round na kitu ndembendembe
 
Nani alikwambia ukubwa una "matter", nakuomba chukuwa asali kwenye kidole halafu kishindilie kooni? halafu chukuwa tena ukinyonye kidole mdomoni? jibu utalopata utajaza mwenyewe.

hahahaha nimeipenda hii unajua kufikirisha ningekupa like sema natumia mobile. Umetisha best
 
Laiti ungalijuwa kuwa na wanawake wengi huvutiwa na makalio ya wanaume, ungeanza kutafuta "mchina". Binafsi huvutiwa sana na huyatamani makalio ya wanaume.

he he he jf kweli ina mambo
 
Mtoa hoja apaswa kuwa makini. Siyo kila makario ya mwanamke ni kivutio. Sijui kama makario ya mama yake au dada yake hata shemeji yake ni kivutio. Tia akilini jamani. I am just a philosopher.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…