Kwanini Makamba na wanaye wanapenda kujionyesha na kujitangaza?

like father like son...usitarajie mazuri toka kwa januari na mamvita.
 
ukisikia makubwa ndo hayo sisi tutabaki kuduwaa watoto wa vibosile
wanatunyonya mpaka kunani wewe uliona wapi mtoto wa mtawala wa
kwanza wa tz kujitangaza na kula hujuma kama watoto hawa
wanajiproud sana ili waonekane wema kumbe ni mafisadi na watoa rushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…