BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 54
yeye na mumewe wote ni wapuuzi tu
huyo mama hafai na wala hajui kutunza familia yake
hivi anadhani jk anapomaliza kuhutubia na mizunguko yote ya juani nani anamsaidia usafi wa nguo za ndani??!!!!
yeye na mumewe wote ni wapuuzi tu
huyo mama hafai na wala hajui kutunza familia yake
hivi anadhani jk anapomaliza kuhutubia na mizunguko yote ya juani nani anamsaidia usafi wa nguo za ndani??!!!!
Hivi hata zile Helikopta ni mali ya CCM?