Kwanini Mama miezi tisa ya ujazito kisha mtoto anaitwa kwa jina la baba yaani mmMsogora Daniel isiwe Msogora JacklineKwani unataka kusemaje?
Kama sisi tungeitwa bin hawa.bhas tungechukua ubin wa mama ila kwa kuwa tumeitwa bin adamu.bhas ndo maana tunafata ubin wa baba.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwanini Mama miezi tisa ya ujazito kisha mtoto anaitwa kwa jina la baba yaani mmMsogora Daniel isiwe Msogora Jackline
Nadhani wamama wanayo majibu
Wee Msogora Hauna mama umuulize!!
Shule zimefungwa kazi IPOHabari wadau
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa najiuliza swala hilo kwenye heading bila jawabu naishia kujaribu kulinganisha na watu wengine mfano Mchoraji wa picha anachora picha pengine kwa siku 3 tu kisha anaandika jina lake vile vile companies zinaandika majina yao kwenye bidhaa zao pengine zimechukua mwezi tu kutengenezwa.
Kwanini Mama miezi tisa ya ujazito kisha mtoto anaitwa kwa jina la baba?
Kama sisi tungeitwa bin hawa.bhas tungechukua ubin wa mama ila kwa kuwa tumeitwa bin adamu.bhas ndo maana tunafata ubin wa baba.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Shule zimefungwa kazi IPO
Ni mazoea na utamaduni uliojengeka katika jamii yetu, Haikuzuii wewe ukiwa na mwanao usimwite danny beatrice.Kwanini Mama miezi tisa ya ujazito kisha mtoto anaitwa kwa jina la baba yaani mmMsogora Daniel isiwe Msogora Jackline
Ni mazoea na utamaduni uliojengeka katika jamii yetu, Haikuzuii wewe ukiwa na mwanao usimwite danny beatrice.
Nchi za watu wengine mbona hivyo vitu vya kawaida tu.
pia kwanin haujiulizi mama ndio anapendwa zaidi kuliko baba au watu weng kila jambo linapotokea wa kwanza kumtaja au kumkumbuka ni mama? then relate na vitu vingne.so i think kila kitu kina reason au nafasi yake ama mila au utaratibu.
Watu wote ni bin Adam.yaan watoto wa Adam.ambae ndo baba yetu.watu woteeeeee.mpaka binadamu wa mwisho atakayezaliwa.Kwa nyinyi kwa sisi
Sio mama yake ni bibi ake.Mtqngazaji fkani wa azam anaitwq Jeff Leah, so hata wewe unaweza kujiita hivyo haina shida
Inategemea.. makabila mengine ni matrinia... mtoto ni wa mjomba..Habari wadau
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa najiuliza swala hilo kwenye heading bila jawabu naishia kujaribu kulinganisha na watu wengine mfano Mchoraji wa picha anachora picha pengine kwa siku 3 tu kisha anaandika jina lake vile vile companies zinaandika majina yao kwenye bidhaa zao pengine zimechukua mwezi tu kutengenezwa.
Kwanini Mama miezi tisa ya ujazito kisha mtoto anaitwa kwa jina la baba?