God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Naunga mkono hoja...😜
Utachapiwa sanaKuna mke wa mtu anataka aombe talaka mimi nimuoe ana watoto.4 nafsi yangu inasita kabisaa
Na wewe unao wangapi?Kuna mke wa mtu anataka aombe talaka mimi nimuoe ana watoto.4 nafsi yangu inasita kabisaa
Nimeshtuka mkuu , hapo yenyew ana ma x 6 kabla ya mimi halafu anataka mimi nimuoeUtachapiwa sana
ma x ninao 6 kama yy tuNa wewe unao wangapi?
We tafta bikra uoeNimeshtuka mkuu , hapo yenyew ana ma x 6 kabla ya mimi halafu anataka mimi nimuoe
Kweli mkuuWe tafta bikra uoe
Hapo mjinga ni wewe unae entertain hata hayo maongezi. Unatembea na mke wa mtu unapitiliza, mpaka mnaanza kushawishiana upuuzi.Kuna mke wa mtu anataka aombe talaka mimi nimuoe ana watoto.4 nafsi yangu inasita kabisaa