Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Nina ushahidi wa nje na ndani kwamba maofisa wa idara hizi wakimaliza utumishi wao WA umma japo huwa hawastahafu wakimaliza utumishi wao kwenye idara wanaajiriwa kwa mikataba na mashirika ya kijasusi ya nje Kama mossad CIA fsb mI5 na mi6 nk kwanini iko hivi je hawawezi kuwa double agents