Kwanini mapokezi ya Tundu Lissu nyumbani kwao Singida yalidoda sana?

Kwanini mapokezi ya Tundu Lissu nyumbani kwao Singida yalidoda sana?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Anahujumiwa na wenzake ndani ya chama chake mwenyewe?

Maandalizi yalikua mabovu?

Hajulikani na hakubaliki kisiasa kwao Singida?

CHADEMA haina wafuasi na wanachama wengi Singida?

Au unadhani tatizo ni nini hasa kitaalamu, mpaka mbunge wa viti maalumu tu, awe na uwezo na ushawishi mkubwa kiasi cha kuvutia na kukusanya watu wengi zaidi ya mwenyekiti wa chadema taifa, tena kwenye mapokezi ya nyumbani kwao? Shida iko wapi? Una ushauri gani kama mdau kuhusu jambo hilo? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Anahujumiwa na wenzake ndani ya chama chake mwenyewe?

Maandalizi yalikua mabovu?

Hajulikani na hakubaliki kisiasa kwao Singida?

Chadema haina wafuasi na wanachama wengi Singida?

au unadhani tatizo ni nini hasa kitaalamu, mpaka mbunge wa viti maalumu tu, awe na uwezo na ushawishi mkubwa kiasi cha kuvutia na kukusanya watu wengi zaidi ya mwenyekiti wa chadema taifa, tena kwenye mapokezi ya nyumbani kwao? Shida iko wapi? Una ushari gani kama mdau kuhusu jambo hilo? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Wek vido
 
Anahujumiwa na wenzake ndani ya chama chake mwenyewe?

Maandalizi yalikua mabovu?

Hajulikani na hakubaliki kisiasa kwao Singida?

CHADEMA haina wafuasi na wanachama wengi Singida?

Au unadhani tatizo ni nini hasa kitaalamu, mpaka mbunge wa viti maalumu tu, awe na uwezo na ushawishi mkubwa kiasi cha kuvutia na kukusanya watu wengi zaidi ya mwenyekiti wa chadema taifa, tena kwenye mapokezi ya nyumbani kwao? Shida iko wapi? Una ushari gani kama mdau kuhusu jambo hilo? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Watu wamempuuza yeye na michango na yeye hana jipya!
 
Wana singida wanaona kuwa hana msaada zaidi ya kupigania maslahi yake binafsi.kama ambavyo alikuwa anataka gari la kifahari ambapo mpaka sasa haieleweki pesa alizochangiwa kapeleka wapi.
 
Wana singida wanaona kuwa hana msaada zaidi ya kupigania maslahi yake binafsi.kama ambavyo alikuwa anataka gari la kifahari ambapo mpaka sasa haieleweki pesa alizochangiwa kapeleka wapi.
wengi wanadai anawaaibisha kama mkoa kwa tabia yake mbaya ya kuomba omba kuchangiwa pesa hali ya kua ana afya, nguvu na akili ya kufanya kazi na kujitegemea kiuchumi
 
Back
Top Bottom