Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Wakuu,
Najiuliza ni kwanini Marais wa Zanzibar wote waliopita kwenye safu ya urais hakuna hata mmoja ambaye ameanzishiwa taasisi yake kama zilivyo taasisi za Marais wa JMT mfano Nyerere Foundation, Mkapa Foundation na Kikwete Foundation, huenda tunatazamia Magufuli Foundation pia.
Najiuliza ni kwanini Marais wa Zanzibar wote waliopita kwenye safu ya urais hakuna hata mmoja ambaye ameanzishiwa taasisi yake kama zilivyo taasisi za Marais wa JMT mfano Nyerere Foundation, Mkapa Foundation na Kikwete Foundation, huenda tunatazamia Magufuli Foundation pia.