Uchaguzi 2020 Kwanini Marekani, Umoja wa Ulaya wanamuunga mkono Tundu Lissu? Kosa la Magufuli ni lipi?

Wana maono Sawa kuhusu maswala ya ushoga na usagaji.
 
Safari hii CCM hamchomoki!! Ur dayz are numbered. !!
 
Darasa la saba humu mnatupotezea mda, sio mahali penu
 
Mnavyowanyanyasa wapinzani mnaona sawa kabisa. Sasa mnaanza kulia kwa kuambiwa tu ukweli
 
Yametimia sasa,Polisi wamekwepa mtego
Sasa Mkuu mbona mnajitekenya na kucheka wenyewe. Sio NEC wala sio Msajili aliyepeleka barua na bodaboda.

Kama upo karibu na watu wa koridoni itakuwa ushaelewa kuwa hali ni mbaya
 
Kama mi ninavyoshangaa kwa nin NEC, msajili na polis wanaipendelea ccm kiasi hicho? Kwa nini wasikae katikati kuachia umma uamue mgombea wanayemtaka?
 
Haijawahi tokea katika Afrika hii..Kiongozi ambaye anaipeleka nchi yake katika maendeleo na kukua kiuchumi kupendwa na Mzungu hata siku moja.

Ndio maana ikitokea mpinzani yeyote atataka kugombea katika nchi husika lazima hawa wazungu wamshike mkono huyo kiongozi ili amuangushe yule raisi atakae inyanyua nchi ya kiafrika.

Ndicho kinachoenda kutokea,watamuinua T.L kwa njia yeyote ili J.P.M atoke katika hiki kiti cha Urais.Ili hawa wazungu wapate njia ya kuvuna mali na akili zetu.

N:B Hakuna Mzungu anayependa maendeleo ya nchi za Africa,kikubwa wanataka kuendelea kututawala tuwe chini yao tu.
 
Wanachofanya Polisi na Tume ni kutaka kumtoa Lissu kwenye reli kuhusu jukumu lake la kuendesha mikutano, kimsingi hakuna mashtaka yoyote.
 
Hiyo taarifa ya Lissu kuungwa mkono na Marekani na Ulaya umeitoa wapi? Ufipa?
 
Ukiona jirani anachukizwa na ukatili ndani ya familia yako jua,ukatili wako umevuka viwango vya kawaida.
 
Mavi yanagonga chupi dadeq zenu
 
Hapa umeropoka tu

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mishale inatoka kila kona!View attachment 1587832
Shame on you! You don't know what's happening on the grounds and the inner feelings of most Tanzanian's in respects of their sovereignty, dignity, choice and rights.

As a sovereign state we will dictate and conduct our internal issues in the best manner to suit our common desire norms and interests, without external coercion or influences from the likes of Tom and Jerry!!!

This time around these Tom and Jerries will get a shock of their lives for the candidate they incubate and cherish will never close the river of fame!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…