Uchaguzi 2020 Kwanini Marekani, Umoja wa Ulaya wanamuunga mkono Tundu Lissu? Kosa la Magufuli ni lipi?

Mataga oyee mfa maji haishi kutapa tapa yan
 
Sisi tunawahitaji wazungu kuliko wazungu wanavyotuhitaji sisi. Tangu tulivyoshindwa kuziunga fikra za Kwame Nkrumah za kuliunganisha Bara la Africa kabla viongozi wa Afrika hawajauonja utamu wa madaraka Basi huo ulikuwa mwisho wa nguzu zetu dhidi ya wazungu. Mawazo ya akina Nyerere ya kutaka nchi zijitawale kwanza Kisha ziungane kwa vipandevipande kwanza ndiko kulikolifikisha Bara hapa
 
Hivi kuna mtu mwenye lakini nzuri anaweza akamuunga mkono magufuli?
 
πŸ”§πŸ”§πŸ”§πŸ”§πŸ”§πŸ”§πŸ”§πŸ”§
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Tofautisha kumuunga mkono Lissu na Kuunga mkono, HAKI, UHURU NA KUHESHIMIANA ILI AMANI IKAZIDI KUTAMALAKI.
 
Mbona unaandika kama unaishi pluto? Hao wabeberu unaowazungumzia wewe wanachokisema sio kweli? Kuna uhuru wa habari? kuna uhuru wa kujieleza? Wanagapi wako kwa makosa ya kubambikiwa kisa tu wamekosoa serikali? Kama ni sheria mbona watu wa CCM wanatukana waziwazi watu hakuna wanalofanywa? Tanzania.sio kwamba watu wahaoni wananyamaza mtu akifikiria familia au ndugu zake kughangaika akiwa jela kwa kesi za utakatishaji anaona bora anyamaze tu.
Lipi hapo sio sahihi nirekebishe.
 
Sababu kubwa ni kukubali ushoga, FINITO!
Alishaonesha kwamba yeye ushoga atauweka ndani ya agenda zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…