Ibada ya kwanza JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 3,282 Reaction score 1,810 Jan 14, 2017 #1 Jamani nimekuwa nikifuatilia mashindano ya Afcon mara nyingi hufanyikia Gaboni.sababu hasa ni nini mbona miundombinu yao kama viwanja ni ya kawaida?
Jamani nimekuwa nikifuatilia mashindano ya Afcon mara nyingi hufanyikia Gaboni.sababu hasa ni nini mbona miundombinu yao kama viwanja ni ya kawaida?
John Wick Member Joined Jan 14, 2017 Posts 17 Reaction score 12 Jan 14, 2017 #2 Ibada ya kwanza said: Jamani nimekuwa nikifuatilia mashindano ya Afcon mara nyingi hufanyikia Gaboni.sababu hasa ni nini mbona miundombinu yao kama viwanja ni ya kawaida? Click to expand... Mwaka gani tena waliwahi pewa uenyeji mkuu?
Ibada ya kwanza said: Jamani nimekuwa nikifuatilia mashindano ya Afcon mara nyingi hufanyikia Gaboni.sababu hasa ni nini mbona miundombinu yao kama viwanja ni ya kawaida? Click to expand... Mwaka gani tena waliwahi pewa uenyeji mkuu?
pandagichiza JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 5,248 Reaction score 3,663 Jan 15, 2017 #3 Iliyopita ilikuwa kwa wachezaji wa ndani nadhan