Kwanini mashirika ya hifadhi ya jamii hayawekezi kwenye kuzalisha umeme?

Kwanini mashirika ya hifadhi ya jamii hayawekezi kwenye kuzalisha umeme?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Wandugu kwanini hawa jamaa hawawekezi kwenye kuzalisha umeme, nchi yetu inamabwawa 6 tu ambayo hayafiki 600MW za uzalishaji.

Inasemekana Tanzania inaweza hadi kuzalisha megawatt 10,000 kutokana na umeme. Hawa jamaa wangewekeza huku si wangepiga pesa? pia wangekuwa na miradi ya uhakika.

Najua gharama siyo tatizo. Bwawa mpaka linakamilika mwaka 2000 liligharimu USD 36M na linazalisha 180MW. hata gharama zitakuwa mara kumi bado hawa jamaa wanaweza. Kwanini wanawekeza kwenye majengo tu na si kwenye umeme.
 
Back
Top Bottom