Kwanini mastaa wengi wa kike hapa Tanzania hawaolewi?

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,641
Hello guys,

Nimefanya observation kwa mastaa wengi wa kike hapa Tanzania kama vile Jokate, Lulu, Wema, Wolper, Kajala n.k.

Wengi wao ni warembo na kwenye mvuto haswa lakini pamoja na umaarufu walionao, inakuaje wanakosa wanaume wa kutangaza ndoa/kuwaoa? Wengi wamefikisha miaka 30+ na hawako kwenye mahusiano ya maana they jump from this man to that man.

Sababu ni ipi?
 
Last edited by a moderator:
Wanaume wana akili sana kuliko sisi wanawake tunavyodhani! Hususani kwenye kuchagua wakuoa
 
Masta wote wa bongo hawawez kuolewa kwa sababu ni wafanyabiashara ya ngono. Akiolewa soko litapungua.
 
Kuwa na mke star inahitaji uwe na moyo wa uvumilivu sana, vinginevyo utaishia kulia kila siku.
 
Hakuna mwanamme mwenye akili timamu anayependa demu anayeliwa na wote.
 
Kwa nini wafuge ng'ombe wakati wanachohitaji ni mazima na nyama tu.
 
Tembo ni mzuri sana na anapendeza akiwa mbugani kwa ajili ya utalii sio wewe umchukue ikamfuge nyumbani ni kwako
 
Mke si kila mwanamke mzuri wa sura na maumbile. Hao wanawake uliowataja unafikiri watakuletea maji ya kunawa na kukuosha mikono kabla na baada ya kula?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…