King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
kumbe kuigiza lugha za makabila ni kuyadharau?mi Thikujua kabithaaa
yanauzika!
YES, una deliver message lakini na lazima iwe na FAN ndani yake...Wachaga,wapemba,wadigo,wamasai
Mgosi:Habari yakho mamushiii?
Mamushi:Nzuri tu mgosi
Mgosi:We um-beba khapuu la matunda mie nzani dondokaaaa,njoo nkupeee bhukuuuu
Mmasai:
Hatiendi kunywa pwombwe leo?
Kwanini wasiweke watu wanaoongea lugha straight kuliko ku-immitate rafudhi za makabila hayo?