Kwanini Matapeli Wanatumia TTCL zaidi kwenye mawasiliano?

Kwanini Matapeli Wanatumia TTCL zaidi kwenye mawasiliano?

DidYouKnow

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2019
Posts
1,229
Reaction score
1,950
Inawezekana usajili wa wateja TTCL una tatizo na imesababisha matapeli wengi kukimbilia huko. Msg za simu au upigaji simu wa kitapeli ambao ulishaachwa au umepungua sana kutumiwa kwenye mitandao mingine, kwa TTCL ndio kwanza imeshamiri. Kuna kitu hakijakaa sawa.
 
Serikali imulike hii kampuni,nimewahi sikia ukinunua laini zao unapewa wiki ya kuitumia bila usajli wakitumaini kuwa utaisajili,sasa matapeli wanatumia mwanya huo kutapeli watu,hii Ni tofauti na makampuni mengine ambapo ukinunua laini Ni lazima isajiliwe ndo uitumie

TCRA wamulikeni kampuni hii ,tumechoka kupata jumbe za kitapeli
 
Serikali imulike hii kampuni,nimewahi sikia ukinunua laini zao unapewa wiki ya kuitumia bila usajli wakitumaini kuwa utaisajili,sasa matapeli wanatumia mwanya huo kutapeli watu,hii Ni tofauti na makampuni mengine ambapo ukinunua laini Ni lazima isajiliwe ndo uitumie

@ttcra wamulikeni kampuni hii ,tumechoka kupata jumbe za kitapeli
Siwezi kupoteza muda wangu kwa hilo dude
 
Inawezekana usajili wa wateja TTCL una tatizo na imesababisha matapeli wengi kukimbilia huko. Msg za simu au upigaji simu wa kitapeli ambao ulishaachwa au umepungua sana kutumiwa kwenye mitandao mingine, kwa TTCL ndio kwanza imeshamiri. Kuna kitu hakijakaa sawa.

Ni uzalendo "Kwa defn ya neno uzalendo toka Ccm"
 
Inawezekana usajili wa wateja TTCL una tatizo na imesababisha matapeli wengi kukimbilia huko. Msg za simu au upigaji simu wa kitapeli ambao ulishaachwa au umepungua sana kutumiwa kwenye mitandao mingine, kwa TTCL ndio kwanza imeshamiri. Kuna kitu hakijakaa sawa.
Mtandao wa TTCL wote unatia shaka, kuanzia ununuzi wa vifaa vyao vya kielektroniki hadi utendaji kwa ujumla ukilinganisha na mitandao mingine... Kuna walakini!.

Kuna ulaghai au ungumbaru wa makusudi unaohalalisha upigaji wa kitaasisi. Jiulize, kwa nini TTCL haifanyi vizuri pamoja na kuwa na miundombinu nchi nzima?.
 
Inawezekana usajili wa wateja TTCL una tatizo na imesababisha matapeli wengi kukimbilia huko. Msg za simu au upigaji simu wa kitapeli ambao ulishaachwa au umepungua sana kutumiwa kwenye mitandao mingine, kwa TTCL ndio kwanza imeshamiri. Kuna kitu hakijakaa sawa.
Bila shaka kwa kuwa ni shamba la bibi🤔.
 
Inawezekana usajili wa wateja TTCL una tatizo na imesababisha matapeli wengi kukimbilia huko. Msg za simu au upigaji simu wa kitapeli ambao ulishaachwa au umepungua sana kutumiwa kwenye mitandao mingine, kwa TTCL ndio kwanza imeshamiri. Kuna kitu hakijakaa sawa.
Na Halotel,nako huo mtandao wanautumia sana
 
Serikali imulike hii kampuni,nimewahi sikia ukinunua laini zao unapewa wiki ya kuitumia bila usajli wakitumaini kuwa utaisajili,sasa matapeli wanatumia mwanya huo kutapeli watu,hii Ni tofauti na makampuni mengine ambapo ukinunua laini Ni lazima isajiliwe ndo uitumie

TCRA wamulikeni kampuni hii ,tumechoka kupata jumbe za kitapeli
Baada ya wewe kusikia hivyo ulifanya utafiti kujua ukweli wake?
Na je unadhani ni kitu kinawezekana?
 
Back
Top Bottom