Kutokwa na udenda wakati umelala kunasababishwa na joto lilipo ndani ya mfuko wa kusagia chakula tumboni (Stomach) Dawa yake kila siku asubuhi na usiku tumia dawa hii Tangawizi husaidia kuondosha ute wa mdomo. chemsha kiasi cha tangawizi kwenye maji unywe glasi moja asubuhi na usiku kwa muda wa siku 3 kisha uje hapa unipe Feedbacl.@MARCKO